Recent content by Believe Mwampamba

  1. Believe Mwampamba

    JamiiForums Tanzania Mbeya haina hadhi ya Jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

    Simiyu imepangwa vizuri njoo uishi
  2. Believe Mwampamba

    JamiiForums Tanzania Mbeya haina hadhi ya Jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

    Nilikuwa nakaa iringa ila vitu vingi naagiza mbeya, mji wa iringa ni Milima na mabonde na ni finyu bora hata makambako
  3. Believe Mwampamba

    JamiiForums Tanzania Mbeya haina hadhi ya Jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

    We Umekaa iringa au umepita iringa? Kama mji juu ya stuli unasema mji?
  4. Believe Mwampamba

    JamiiForums Tanzania Mbeya haina hadhi ya Jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

    Dodoma inajengwa kwa msaada wa serikali, nani willingly angechagua kukaa jangwani, na wenye mji wa dodoma wagogo wengi ni ombaomba na wafanyakazi wa ndani
  5. Believe Mwampamba

    JamiiForums Tanzania Mbeya haina hadhi ya Jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

    Kigezo huwa ni population tu?
  6. Believe Mwampamba

    JamiiForums Tanzania Mbeya haina hadhi ya Jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

    Umechanganikiwa mmepima Yale mawe? Dar yenyewe ni jiji ukilinganisha na majiji gani afrika?
  7. Believe Mwampamba

    JamiiForums Tanzania Mbeya haina hadhi ya Jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

    Ungetembea mikoa ya mingi Tanzania usingewahi kusema ujinga Kama Huu. Unaifahamu kigoma, katavi, mtwara, simiyu, shinyanga, nk?
  8. Believe Mwampamba

    JamiiForums Tanzania Mbeya haina hadhi ya Jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

    Kwani unafikiri ni mji gani unaushinda dodoma kwa kupangwa? Na ni kwa sababu dodoma serikali imewekeza nguvu huko bila ya hivyo isingekuwa na utofauti na kina singida. Kuweni na heshima mbeya ni jiji kongwe wamesoma watu wengi maarufu, na mshughuri, ulikuwa mji muhimu sana kwenye harakati za...
  9. Believe Mwampamba

    JamiiForums Tanzania Mbeya haina hadhi ya Jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

    We Ushawahi kwenda lini kufanya shopping kwenye malls?
  10. Believe Mwampamba

    JamiiForums Tanzania Mbeya haina hadhi ya Jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

    Watu wanaushamba tu marekani wana nyumba nyingi sana za mbao, Kwani ni maskini? Afu unaweza kuta anapiga kelele Kumbe kwao simiyu
  11. Believe Mwampamba

    JamiiForums Tanzania Naombeni Dawa ya asthma/pumu

    Pole sana kwa changamoto yako unaweza kwenda hospitali ukapata lkn ukiwa nyumban unaweza kuepukana na vitu vinavyopelekea ukapata izo attack mfano inaweza kuwa vumbi, maua fulani nk
  12. Believe Mwampamba

    JamiiForums Tanzania KWELI Uume huacha kukua mwanaume anapofikisha umri wa miaka 20

    Hakuna uhusiano kwa kuwa ni mambo ya kigenetic, genes inaweza kuathirika na mabadiliko ya kimazingira kwa muda mrefu sana ko uwezekano ni 0.000001% ikasababishwa na tohara katika umri mdogo
  13. Believe Mwampamba

    JamiiForums Tanzania KWELI Kuna dawa ya kuzuia maambukizi ya HIV ndani ya saa 72

    Kikubwa watu wazingatie kuwahi mana kadiri muda unavozidi kwenda ndivyo chance ya kupona inapungua kama dawa za kuzuia kushika ujauzito tu
  14. Believe Mwampamba

    JamiiForums Tanzania Naona Urusi imeshazungukwa na NATO tayari. Muda wowote anakamatwa

    We lala tu😂😂😂
Back
Top Bottom