Kontena la ft 20 linapangishwa....lipo kando ya barabara ya lami( inaangaliana na barabara) mabibo Makutano.
Kodi 90000 kwa mwezi.
Linafaa kwa matumizi ya biashara mbalimbali mf duka, stationery,mgahawa n.k
Mazungumzo yapo. Hakuna dalali mmiliki ni mimi mwenyewe.
0685510781
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.