Gari linafika kwenye kiwanja?Kiwanja kinauzwa mbagala rangi Tatu umbali wa mita 200 tokea Kilwa road. Kina sqm 221.Kina Leseni ya makazi(Hati za Manispaa).Eneo Kuzunguka limejengwa.
Nicheki chap kwa 0677089280.
View attachment 2313092View attachment 2313094View attachment 2313095
Weka picha nyingine zikionyesha hiyo barabaraKiko sehemu iliyojengeka tayari.Ni pazuri kujenga nyumba ya kuishi au kupangisha sababu ni pa kutembea tu toka barabara kubwa ya Kilwa mpaka kwenye kiwanja.
Ongeza 1m tufanye biashara.Chukua 2m chap tufanye biashara kesho
Ongeza 1m tufanye biashara.1m sina kiongozi.....nikijuvuta sana tufanye 2.2 m leo au kesho mkuu
Kina 20m *12,kimepimwa(Leseni ya makazi).Urefu na upana mita ngap ngap
Mbona unajenga ghetto zuri tuuHicho kiwanja kinatosha kujenga frem ya Duka Tu, si nyumba ya kuishi hakifai kabisa.
Yeah kipo.vipi bado kipo icho kiwanja
Nyumba unajenga chief tena ya kutosha.Hicho kiwanja kinatosha kujenga frem ya Duka Tu, si nyumba ya kuishi hakifai kabisa.
12x20? Nyumba gani hiyo.Nyumba unajenga chief tena ya kutosha.
Bado kipo mzeya?Nyumba unajenga chief tena ya kutosha.