Recent content by bejumula

  1. B

    Askofu Niwemugizi asema yuko tayari kuitwa mchochezi

    Wewe kweli halichachi!!
  2. B

    Ripoti za Madini: Tundu Lissu amuwakia Spika Ndugai

    Ndio maana waliweka taratibu na kanuni,lazima zifuatwe. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. B

    Kwanini Serikali na CCM Wanakuwa Wazito Kukanusha Tuhuma Hizi? Nini Kipo Nyuma Ya Pazia?

    Nawewe unajiona ni mmoja wao!pole ndg,hujijui,'hata wewe!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. B

    Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wakata rufaa dhidi ya adhabu ya Mdee na Bulaya

    Wametimiza wajibu,kabla ya mahakama lazima ukate rufaa kwanza nahapo ndio unapata ushahidi mbele,maana hata mahakama watauliza baada ya hiyo hukumu ulichukua hatua gan,Nina imani Ndungai sio kila kitu bwana!
  5. B

    Baraza la Mawaziri la JPM sasa limejaa Wazee watupu, sahau Viwanda, tegemea Vi-wonder

    Vichekesho kweli maana hata wewe kichekesho namba 1 maana hata huyo Mwakyembe alikuwa Mwl wa Lisu,
  6. B

    Waziri Nape, wachukulie hatua Gazeti la Mwananchi kwa kuihujumu CCM

    Yeye ni waziri wewe ni kilaza tu wa lumumba.
  7. B

    Serikali imuunge mkono Askofu Dr. Gwajima katika mpango wa kununua Treni ya Mwendo kasi

    Umesema la maana sana,nikweli wazungu niwajanja sanavna sana akili nyingi, ns watanzania ni wajinga na wapumbafu sana,!!!
  8. B

    Mrejesho; Kiusalama, Tundu Lissu kumwambia Rais kuwa "ameropoka" ni kosa kubwa sana

    Kawaulize Polisi, lissu siku izi ni uasalama wataifa?ach hizo ndg.
  9. B

    IGP Mangu awasimamisha kazi askari polisi 12 wanaodaiwa kujihusisha na mihadarati

    Umeombwa jambo moja tu katika hayo mengi aliyoyafanya na akafanikisha wewe unarukaruka tu!!!
  10. B

    Tundu Lissu: Kuwataja Vidagaa na kuwaacha Nyangumi/papa si ajabu ni moja kati ya mambo ya hovyo

    Yapo mezan kwa JPM aliyaacha hapo Kikwete mwambien awasomee maana alishaandikiwa!
  11. B

    LINDI: M/kiti wa CHADEMA na Katibu wa tawi la Nyangamara wahukumiwa miezi 8 bila faini

    Kwa hali ilivyo inabidi kuwe na kota za mahakimu, wakimaliza hukumu zao wakae huko,maana haiingii akilini amfunge mtu kipuuzi puuzi alafu tuwe naye mtaani,
  12. B

    LINDI: M/kiti wa CHADEMA na Katibu wa tawi la Nyangamara wahukumiwa miezi 8 bila faini

    Hata wewe haukosalama kama unavyofikiri!!!
  13. B

    Ahsante Mungu kwa kutupa Rais Magufuli

    We kweli boya aubado hujazimua,tunaambiwa mahakama ya mafisadi pamoja nakufunguliwa kwa mbwembwe kibao haina kesi zakusikiliza wewe unasema kesi kibao!!!labda kama za usiku!
Back
Top Bottom