mkuu asante sana! kuhusu la kuanza maisha ni kwamba mimi niko huku Dar ila nyumban ni mkoani! kwa hiyo nimekuja kutafuta maisha tu mkuu!! kuhusu kupanga ni muhimu maana hapa nakaa na washkaji tu alafu panabana saaaana yaan
1) mkuu ni kwamba nimepewa taarifa hiyo na mtu ambaye yuko anashughulikia kwa sababu yeye yuko mkoani
2) mimi sina ujuzi ila nilitaka niitenge hiyo hela katika vibiashara vidogo vidogo ili nisiweze kukwama baadae
salaam
samahani wana Jamiiforums ,nimepata kiasi cha sh milion 2, nimepewa nikaanzie maisha ila sasa hapo natakiwa nitoe na kodi ya chumba na niangalie nifanye biashara gani!
Binafsi nimepiga mahesabu naona hayaingii vizuri kwa sababu natakiwa kuwa nafanya marejesho maana mzazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.