Mchakato niliuanza muda kwel tangu mwaka WA fedha 2018/19. Nikajibw endapo nafasi ikitokea ntajulishwa. 2019/20 nikaomba tena na 2020/21 nikaomba tena ndio SA hv mwanga umepatikana. . Niliandika barua ya kuomba kuhamia nikapitisha MWA mwajiri wangu nikapeleka kote. Nilijibiwa hakuna nafasi...
Sijaipata Ila naulizia nifahamu mana nimepata option ya kuhamia ya taasis mbili za serikl mojawapo hio ndio natk nilinganishe ili nijue niende wap kat ya nhif au Hy taasis
Niaje wadau. Nina idea hapa watakaovutiwa nayo wanaweza kuunga mkono juhudi.
Naamini wengi wetu humu tuna idea nzuri Tu ya kubeti. Nahitaji tupate watu 13 ambao wenye Nia ya dhat ya kuitengeneza faida kupitia betting Ila wawe wavumilivu.
Watu hawa angalau kwa wiki tuwe tuna weka mikeka angalau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.