Kutokana na sintofahamu inayoendelea na kufuatia kujiuzulu kwa Makamu wa Rais Mh. Emmanuel NCHIMBI, duru zinaonyesha mwenye nafasi kubwa ya kuchukua kijiti basi ni kijana wetu Deogratius Ndejembi
Huu ni ukweli ambao watu wengi hawataki kusikia, lakini ukweli ni kwamba tangu Mh. Rais Samia aingine madarakani ustawi wa maisha ya watu umeonekana, Ajira zimeongezeka kwa kiasi kikubwa serikali na sekta binafsi. Biashara za kimataifa hususan uwekezaji unakua kwa Kasi nchini kwa Kasi, sekta...
Rais 2030 ni Prof. Kitila mkumbo. Turufu ya kitila inatokana na Kutokuwa na makundi pia uadilifu na akili yake kubwa ya utatuzi wa mambo. Mwigulu na Nchimbi watakatwa kutokana na makundi Yao ku harmonize situation na kulinda uhai wa chama.
Kipindi cha nyuma kuna watu weusi wawili ndiyo walikuwa wanaingia kwenye list.
1: marehemu Reginald Mengi
2: Marehemu Ali Mufuruki. Unfortunately wameondoka Sasa hivi list 1- 10 wote waarabu na wahindi. Hii ni tofauti kwa nchi kama Nigeria, matajiri wote weusi. Inasikitisha kwa kweli na kuvunja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.