Kipindi cha nyuma kuna watu weusi wawili ndiyo walikuwa wanaingia kwenye list.
1: marehemu Reginald Mengi
2: Marehemu Ali Mufuruki. Unfortunately wameondoka Sasa hivi list 1- 10 wote waarabu na wahindi. Hii ni tofauti kwa nchi kama Nigeria, matajiri wote weusi. Inasikitisha kwa kweli na kuvunja...
Ila magu huyo huyo ndiye alijaribu kuutoa uhai wa Tundu lissu, hata hivi vitendo vya utekaji vimeanza kushika hatamu kipindi cha Magu, tulishihudia miili kuokotwa kwenye viroba maeneo ya Coco beach.
Pole pole huyo huyo enzi za jiwe ndo alikuwa kwenye kampeni ya kushinikiza Magufuli abadili katiba na aendelee kuongoza kwa miaka 7. Ilikuwa kampeni ya chini kwa chini inayoanza mpaka akapewa ubunge wa kuteuliwa katika awamu ya pili ya uongozi wa Mwendazake. Mungu si athumani, akamchukua Hayati...
Pole pole Hana uteule wowote. Alihusika kwa kiasi kikubwa kwa udhalimu katika utawala wa mwendazake, kauli za kebehi na kujiona mwamba, kuminya Demokrasia n.k akili ilimrudi baada ya Mwamba kuondoka na kujidai anataka mabadiliko. Baada ya kusogezwa pembeni kwenye ulaji, Mungu amuweke mahala...
Kuna haja ya vijana kuishi maisha ya kimkakati, maisha ya kimkakati tafsiri yake ni maisha ya kukusaidia kupiga hatua mbele. Kuanzia marafiki unaojumuika nao, sehemu unazopenda kutembelea, mahusiano yako ya kimapenzi, maarifa unayowekeza kwenye fikra zako, vyote hivyo vichangie katika kupiga...
1:Magufuli mvunjifu wa kanuni, sheria na taratibu katika nchi. Hususan Demokrasia l, ubabe usio na tija katika uongozi na kutoa lugha chafu zisizo na staha.
2: muasisi wa uchawa, Kuchagua watu wenye uwezo mdogo katika utumishi Ili wam please yeye.
3: Kutumia nguvu kubwa kununua wapinzani na...
Wosia kwa vijana kwanza,
1: Ishi kwa kumtanguliza Mungu, Muombe Mungu akupe kibali katika kila hatua unayochukua katika maisha. Kibali kina nafasi kubwa sana katika mafanikio ya mtu.
2: usichoke kujaribu ( kuthubutu) na kufanya yaliyo ndani ya uwezo wako matokeo muachie Mungu, hata kama...
Ndugu yangu Mimi nawashangaa ndugu zetu waislamu, wanahangaika na Taasisi ambayo kiongozi wao duniani anabariki mashoga na kuhimiza ndoa za jinsia Moja. Hao TEC hata uongozi wa familia hawana. Si shida kwa kweli
Oh! Sawa nimekuelewa. Lakini sikubaliani na nadharia yako, ukitazama kwa makini serikali haikuwa tayari kutumia nguvu kubwa kudhibiti maandamano lakini maandamano yalipozidi hapakuwa na namna.
Kagame ni overrated kiongozi, Tanzania tupo vizuri kijeshi na ki intelijensia. Bila uimara wa vyombo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.