Recent content by Bedson jr

  1. B

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Kuna Yuda Msaliti ndani ya Serikali hili anatafuta huruma kanisani

    Hapo anasemwa BALOZI Dr. E.J.N. ( MANYWELE)
  2. B

    JamiiForums Tanzania Trends Reading: Japo Rais wa 2030 Namjua, Simtaji ili Kumlinda!. Be The First to Know Good News Kawe-2030, MB.ni Mwanamke!, Kawe Itapaa kwa Maendeleo!

    Rais 2030 ni Prof. Kitila mkumbo. Turufu ya kitila inatokana na Kutokuwa na makundi pia uadilifu na akili yake kubwa ya utatuzi wa mambo. Mwigulu na Nchimbi watakatwa kutokana na makundi Yao ku harmonize situation na kulinda uhai wa chama.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Yeah mkuu. He is smart and Bright. Hana makundi na ana uadilifu
  4. B

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Hamna hata mmoja atakayekuwa Rais kati ya hao. Rais wa Tanzania 2030 ni Prof.kitila Mkumbo
  5. B

    JamiiForums Tanzania Ambao mmetoka kwenye Familia zenye Upendo, Mshukuru Mungu

    Pole sana rafiki. I'm cancer too 21 July, if you want a friend we can get along. Cheers happy Easter
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kuna jambo haliko sawa. Top ya matajiri katika nchi kuwa wa rangi moja tu

    Kipindi cha nyuma kuna watu weusi wawili ndiyo walikuwa wanaingia kwenye list. 1: marehemu Reginald Mengi 2: Marehemu Ali Mufuruki. Unfortunately wameondoka Sasa hivi list 1- 10 wote waarabu na wahindi. Hii ni tofauti kwa nchi kama Nigeria, matajiri wote weusi. Inasikitisha kwa kweli na kuvunja...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Mfalme ‘akiuawa’ huwa inachukua muda mrefu sana Taifa kupona

    Asante sana baba Lumumba kwa makala hii yenye kufunza na kuelimisha
  8. B

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Polepole yajazwa, Luteni Jenerali Mathew Edward Mkingule apangiwa kuwa Balozi nchini Cuba

    Huyo Mhandisi Luhemeja hamna kitu hapo, Hana ujuzinwowote wa Diplomasia.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Majambazi wamemuua rafiki yangu kikatili sana. Imeniuma mno

    Pole sana ndugu yangu. Mungu aipumzishe salama roho ya marehemu.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Ifahamu ‘Kwanza Unit’ Kundi la muziki la zamani lililotaka kuifanya Tanzania kuwa Taifa la Hip Hop

    R.I.P Kim & The boys muasisi wa Yo rap Bonanza, huyu jamaa aliturusha enzi hizo na ni miongoni mwa wadau waliochangia kukua kwa Bongo flavour.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Watu kama Lissu, Polepole na wengineo, ni wateule tu ili watanganyika mkombolewe kupitia mateso na hata vifo vyao

    Sipo kwenye platform hiyo ya Polepole lakini kwa nafasi yangu nimechangia mabadiliko kwa nafasi yangu.
  12. B

    JamiiForums Tanzania Watu kama Lissu, Polepole na wengineo, ni wateule tu ili watanganyika mkombolewe kupitia mateso na hata vifo vyao

    Ila magu huyo huyo ndiye alijaribu kuutoa uhai wa Tundu lissu, hata hivi vitendo vya utekaji vimeanza kushika hatamu kipindi cha Magu, tulishihudia miili kuokotwa kwenye viroba maeneo ya Coco beach.
  13. B

    JamiiForums Tanzania Watu kama Lissu, Polepole na wengineo, ni wateule tu ili watanganyika mkombolewe kupitia mateso na hata vifo vyao

    Pole pole huyo huyo enzi za jiwe ndo alikuwa kwenye kampeni ya kushinikiza Magufuli abadili katiba na aendelee kuongoza kwa miaka 7. Ilikuwa kampeni ya chini kwa chini inayoanza mpaka akapewa ubunge wa kuteuliwa katika awamu ya pili ya uongozi wa Mwendazake. Mungu si athumani, akamchukua Hayati...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Watu kama Lissu, Polepole na wengineo, ni wateule tu ili watanganyika mkombolewe kupitia mateso na hata vifo vyao

    Pole pole Hana uteule wowote. Alihusika kwa kiasi kikubwa kwa udhalimu katika utawala wa mwendazake, kauli za kebehi na kujiona mwamba, kuminya Demokrasia n.k akili ilimrudi baada ya Mwamba kuondoka na kujidai anataka mabadiliko. Baada ya kusogezwa pembeni kwenye ulaji, Mungu amuweke mahala...
Back
Top Bottom