Recent content by Bedson jr

  1. B

    JamiiForums Tanzania Deo Ndejembi kuwa Makamu wa Rais

    Asante mkuu wangu
  2. B

    JamiiForums Tanzania Nani kumrithi E. NCHIMBI?

    Deogratius Ndejembi
  3. B

    JamiiForums Tanzania Deo Ndejembi kuwa Makamu wa Rais

    Tusubiri tuone mkuu
  4. B

    JamiiForums Tanzania Deo Ndejembi kuwa Makamu wa Rais

    Kutokana na sintofahamu inayoendelea na kufuatia kujiuzulu kwa Makamu wa Rais Mh. Emmanuel NCHIMBI, duru zinaonyesha mwenye nafasi kubwa ya kuchukua kijiti basi ni kijana wetu Deogratius Ndejembi
  5. B

    JamiiForums Tanzania Heche: Hii vita tumejiandaa kuipigana Samia anachotaka kufanya na serikali yake, Hatuko tayari kupiga magoti

    Yeye si shule ya Sheria, muache aendelee kutoa shule ya Sheria. 😎😎😎
  6. B

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amefanya makubwa kuliko Marais wote Tanzania ila vijana wameharibiwa na Mange Kimambi

    Huu ni ukweli ambao watu wengi hawataki kusikia, lakini ukweli ni kwamba tangu Mh. Rais Samia aingine madarakani ustawi wa maisha ya watu umeonekana, Ajira zimeongezeka kwa kiasi kikubwa serikali na sekta binafsi. Biashara za kimataifa hususan uwekezaji unakua kwa Kasi nchini kwa Kasi, sekta...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Kuna Yuda Msaliti ndani ya Serikali hili anatafuta huruma kanisani

    Hapo anasemwa BALOZI Dr. E.J.N. ( MANYWELE)
  8. B

    JamiiForums Tanzania Trends Reading: Japo Rais wa 2030 Namjua, Simtaji ili Kumlinda!. Be The First to Know Good News Kawe-2030, MB.ni Mwanamke!, Kawe Itapaa kwa Maendeleo!

    Rais 2030 ni Prof. Kitila mkumbo. Turufu ya kitila inatokana na Kutokuwa na makundi pia uadilifu na akili yake kubwa ya utatuzi wa mambo. Mwigulu na Nchimbi watakatwa kutokana na makundi Yao ku harmonize situation na kulinda uhai wa chama.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Yeah mkuu. He is smart and Bright. Hana makundi na ana uadilifu
  10. B

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    Hamna hata mmoja atakayekuwa Rais kati ya hao. Rais wa Tanzania 2030 ni Prof.kitila Mkumbo
  11. B

    JamiiForums Tanzania Ambao mmetoka kwenye Familia zenye Upendo, Mshukuru Mungu

    Pole sana rafiki. I'm cancer too 21 July, if you want a friend we can get along. Cheers happy Easter
  12. B

    JamiiForums Tanzania Kuna jambo haliko sawa. Top ya matajiri katika nchi kuwa wa rangi moja tu

    Kipindi cha nyuma kuna watu weusi wawili ndiyo walikuwa wanaingia kwenye list. 1: marehemu Reginald Mengi 2: Marehemu Ali Mufuruki. Unfortunately wameondoka Sasa hivi list 1- 10 wote waarabu na wahindi. Hii ni tofauti kwa nchi kama Nigeria, matajiri wote weusi. Inasikitisha kwa kweli na kuvunja...
Back
Top Bottom