Rais 2030 ni Prof. Kitila mkumbo. Turufu ya kitila inatokana na Kutokuwa na makundi pia uadilifu na akili yake kubwa ya utatuzi wa mambo. Mwigulu na Nchimbi watakatwa kutokana na makundi Yao ku harmonize situation na kulinda uhai wa chama.
Kipindi cha nyuma kuna watu weusi wawili ndiyo walikuwa wanaingia kwenye list.
1: marehemu Reginald Mengi
2: Marehemu Ali Mufuruki. Unfortunately wameondoka Sasa hivi list 1- 10 wote waarabu na wahindi. Hii ni tofauti kwa nchi kama Nigeria, matajiri wote weusi. Inasikitisha kwa kweli na kuvunja...
Ila magu huyo huyo ndiye alijaribu kuutoa uhai wa Tundu lissu, hata hivi vitendo vya utekaji vimeanza kushika hatamu kipindi cha Magu, tulishihudia miili kuokotwa kwenye viroba maeneo ya Coco beach.
Pole pole huyo huyo enzi za jiwe ndo alikuwa kwenye kampeni ya kushinikiza Magufuli abadili katiba na aendelee kuongoza kwa miaka 7. Ilikuwa kampeni ya chini kwa chini inayoanza mpaka akapewa ubunge wa kuteuliwa katika awamu ya pili ya uongozi wa Mwendazake. Mungu si athumani, akamchukua Hayati...
Pole pole Hana uteule wowote. Alihusika kwa kiasi kikubwa kwa udhalimu katika utawala wa mwendazake, kauli za kebehi na kujiona mwamba, kuminya Demokrasia n.k akili ilimrudi baada ya Mwamba kuondoka na kujidai anataka mabadiliko. Baada ya kusogezwa pembeni kwenye ulaji, Mungu amuweke mahala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.