Recent content by Bedson jr

  1. B

    Kuna jambo haliko sawa. Top ya matajiri katika nchi kuwa wa rangi moja tu

    Kipindi cha nyuma kuna watu weusi wawili ndiyo walikuwa wanaingia kwenye list. 1: marehemu Reginald Mengi 2: Marehemu Ali Mufuruki. Unfortunately wameondoka Sasa hivi list 1- 10 wote waarabu na wahindi. Hii ni tofauti kwa nchi kama Nigeria, matajiri wote weusi. Inasikitisha kwa kweli na kuvunja...
  2. B

    Mfalme ‘akiuawa’ huwa inachukua muda mrefu sana Taifa kupona

    Asante sana baba Lumumba kwa makala hii yenye kufunza na kuelimisha
  3. B

    Nafasi ya Polepole yajazwa, Luteni Jenerali Mathew Edward Mkingule apangiwa kuwa Balozi nchini Cuba

    Huyo Mhandisi Luhemeja hamna kitu hapo, Hana ujuzinwowote wa Diplomasia.
  4. B

    Majambazi wamemuua rafiki yangu kikatili sana. Imeniuma mno

    Pole sana ndugu yangu. Mungu aipumzishe salama roho ya marehemu.
  5. B

    Ifahamu ‘Kwanza Unit’ Kundi la muziki la zamani lililotaka kuifanya Tanzania kuwa Taifa la Hip Hop

    R.I.P Kim & The boys muasisi wa Yo rap Bonanza, huyu jamaa aliturusha enzi hizo na ni miongoni mwa wadau waliochangia kukua kwa Bongo flavour.
  6. B

    Watu kama Lissu, Polepole na wengineo, ni wateule tu ili watanganyika mkombolewe kupitia mateso na hata vifo vyao

    Sipo kwenye platform hiyo ya Polepole lakini kwa nafasi yangu nimechangia mabadiliko kwa nafasi yangu.
  7. B

    Watu kama Lissu, Polepole na wengineo, ni wateule tu ili watanganyika mkombolewe kupitia mateso na hata vifo vyao

    Ila magu huyo huyo ndiye alijaribu kuutoa uhai wa Tundu lissu, hata hivi vitendo vya utekaji vimeanza kushika hatamu kipindi cha Magu, tulishihudia miili kuokotwa kwenye viroba maeneo ya Coco beach.
  8. B

    Watu kama Lissu, Polepole na wengineo, ni wateule tu ili watanganyika mkombolewe kupitia mateso na hata vifo vyao

    Pole pole huyo huyo enzi za jiwe ndo alikuwa kwenye kampeni ya kushinikiza Magufuli abadili katiba na aendelee kuongoza kwa miaka 7. Ilikuwa kampeni ya chini kwa chini inayoanza mpaka akapewa ubunge wa kuteuliwa katika awamu ya pili ya uongozi wa Mwendazake. Mungu si athumani, akamchukua Hayati...
  9. B

    Watu kama Lissu, Polepole na wengineo, ni wateule tu ili watanganyika mkombolewe kupitia mateso na hata vifo vyao

    Pole pole Hana uteule wowote. Alihusika kwa kiasi kikubwa kwa udhalimu katika utawala wa mwendazake, kauli za kebehi na kujiona mwamba, kuminya Demokrasia n.k akili ilimrudi baada ya Mwamba kuondoka na kujidai anataka mabadiliko. Baada ya kusogezwa pembeni kwenye ulaji, Mungu amuweke mahala...
  10. B

    Wadogo zetu 18-25yrs msifiikiri mna muda wa kutosha, kuna mtu yupo 30s anasoma huu uzi na hana direction ya uhakika, Muda ni upepo

    Kuna haja ya vijana kuishi maisha ya kimkakati, maisha ya kimkakati tafsiri yake ni maisha ya kukusaidia kupiga hatua mbele. Kuanzia marafiki unaojumuika nao, sehemu unazopenda kutembelea, mahusiano yako ya kimapenzi, maarifa unayowekeza kwenye fikra zako, vyote hivyo vichangie katika kupiga...
  11. B

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    1:Magufuli mvunjifu wa kanuni, sheria na taratibu katika nchi. Hususan Demokrasia l, ubabe usio na tija katika uongozi na kutoa lugha chafu zisizo na staha. 2: muasisi wa uchawa, Kuchagua watu wenye uwezo mdogo katika utumishi Ili wam please yeye. 3: Kutumia nguvu kubwa kununua wapinzani na...
  12. B

    Ma Brother wa 35+ ni kosa gani ulilifanya kwenye maisha yako, ambalo hutamani wengine walirudie?

    Wosia kwa vijana kwanza, 1: Ishi kwa kumtanguliza Mungu, Muombe Mungu akupe kibali katika kila hatua unayochukua katika maisha. Kibali kina nafasi kubwa sana katika mafanikio ya mtu. 2: usichoke kujaribu ( kuthubutu) na kufanya yaliyo ndani ya uwezo wako matokeo muachie Mungu, hata kama...
  13. B

    PostGE2025 Rais Samia umeongea kama Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania

    Ndugu yangu Mimi nawashangaa ndugu zetu waislamu, wanahangaika na Taasisi ambayo kiongozi wao duniani anabariki mashoga na kuhimiza ndoa za jinsia Moja. Hao TEC hata uongozi wa familia hawana. Si shida kwa kweli
  14. B

    PostGE2025 Rais Samia umeongea kama Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania

    Oh! Sawa nimekuelewa. Lakini sikubaliani na nadharia yako, ukitazama kwa makini serikali haikuwa tayari kutumia nguvu kubwa kudhibiti maandamano lakini maandamano yalipozidi hapakuwa na namna. Kagame ni overrated kiongozi, Tanzania tupo vizuri kijeshi na ki intelijensia. Bila uimara wa vyombo
Back
Top Bottom