Recent content by Bed

  1. B

    Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho dhidi ya mafanikio yake! Makonda wapuuze

    Nimekuwa nikifuatilia post zenu mda mrefu nimesikitika sana. Wabongo mnapenda umbea. Pilipili msioila inawawashia nini? Subirini bana time will tell.
  2. B

    Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    Hivi kweli mtu kama ni fisadi na ameiba pesa za uma mbona hakuna hata siku ambayo amekamatwa na kushitakiwa. Tunaimba fisadi, fisadi, fisadi tu kila wakati. Akamatwe basi akashitakiwe. Wanaodanganyika ni wananchi tu, ambao hawafuatilii vyombo vya habari. Mwananchi mwenye akili timamu anajua uozo...
  3. B

    Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    Kwa hiyo
  4. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo sirari sekondari iko Tarime
  5. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Kwa yeyote anayetaka kuja Tarime Town secondary 0752490349
  6. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi nko Sirari mjini wilaya Tarime. Je kuna mtu wa Magu anahitaji kuja hapa idara ya sekondary. Ni Pm faster.
  7. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Tarime mjini nije Morogoro au Manyara sekondari 0752490349.
  8. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    JE? Kuna wa Misungwi anataka kuja Tarime ani PM
  9. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Je? Kuna mtu wa Tarime kutoka Hanang' anataka kurudi nyumbani sec. call me at 0752490349
  10. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Tarime mji mdogo wa Sirari mpakani mwa Tanzania na Kenya. Idara ya secondari mimi nije Arusha wilaya yoyote au Babati, Karatu, Hai, Korogwe, au sehemu yoyote unayoijua ni karibu na Arusha. 0752490349 unapotokea pawe na Maji, Umeme, Barabara kwani nilipo vitu vyote hivyo vipo.
  11. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Tarime mji mdogo wa Sirari mpakani mwa Tanzania na Kenya. Idara ya secondari mimi nije Arusha wilaya yoyote au Babati, Karatu, Hai, Korogwe, au sehemu yoyote unayoijua ni karibu na Arusha. 0752490349 unapotokea pawe na Maji, Umeme, Barabara kwani nilipo vitu vyote hivyo vipo.
  12. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Tarime mji mdogo wa Sirari mpakani mwa Tanzania na Kenya. Idara ya secondari mimi nije Arusha wilaya yoyote au Babati, Karatu, Hai, Korogwe, au sehemu yoyote unayoijua ni karibu na Arusha. 0752490349.
  13. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Tarime mji mdogo wa Sirari mpakani mwa Tanzania na Kenya. Idara ya secondari mimi nije Arusha wilaya yoyote au Babati, Karatu, Hai, Korogwe, au sehemu yoyote unayoijua ni karibu na Arusha. 0752490349
  14. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Tarime mji mdogo wa Sirari mpakani mwa Tanzania na Kenya. Idara ya secondari mimi nije Arusha wilaya yoyote au Babati, Karatu, Hai, Korogwe, au sehemu yoyote unayoijua ni karibu na Arusha. 0752490349
Back
Top Bottom