Najua wasema hii kauli ili kujifariji sababu labd unampend which I understand,ila brother kama ni mtu ambae umepanga kutokuwa na future inavumilika ila kama umepanga kuishi nae katika shida na raha huyo hawezi change,ata act kubadilika kiasi ukimsema ila kama ni hulka yake itajitokeza tena na...
Unakifua?sio unajibu hapa then ukienda unaanza kumbembeleza,huyu mtu huhitaji adhabu,muadhibu mentaly,mpige chini bila vurugu yoyote,atajidharau na siku wakizinguana na mtu wake lazima akukumbuke,mjini wanawake kibao unaumiza kichwa kwa mwanamke ambae amekueleza kabisa hakutaki,weka akili yako...
Sikia hii,inasemekana katika mkataba wake uliopo kuna kipengele ambacho kinamruhusu kuondoka kama kuna team inafikia matakwa ,yaani team ikitokea inafika bei na maslahi binafsi ya mchezaji akavutiwa nayo kipengele hiko kinamruhusu kuondoka ,hiko kipengele kinampa mayele nguvu kubwa kuliko yang...
Umeongea kila kitu,mwanzo wa mahusiano ndio unaonyesha mwanga mbeleni kama mtu ulitoa sana mwanzoni means lazima uendeleze ,it’s crazy world tunaishi aisee ,hiki kizazi cha miaka hii hapana
Nakubaliana nawewe asilimia zote,hawa watu wanaenda nawewe jinsi ulivoanza nao,ukijifanya unazo mwanzoni basi utakua ATM muda wote,how you started ndio taswira ya mahusiano yatakavoenda,we should be bold ,nakusaidia inapobidi ila sio kuwa dhaifu this much aisee
Bei inakua juu ila quality yake sio ya dunia hii,hizi zetu za elfu 35 ni kuzivumilia tu ila
Ukifua mara tatu aisee sidhani kama zinabaki na ubora hata nusu yake,sie bado sana tuendelee tu kufurahia utani wa jadi nani mwenye jezi nzuri na nani kasajili vizuri siku ziende
Nani kakundanganya?sio kweli,mfano jezi za man u ambayo ni team ninayoshabikia kuna jezi aina mbili,moja ya mashabiki na moja ile ile ya wachezaji wanayoingia nayo uwanjani kumbuka hizi jezi ambazo wachezaji wanacheza nazo na hizo ambazo unaona mashabiki wanavaa ni mbili tofauti kwenye material...
Ukikausha ukaushe mazima,akikutafuta yeye akijishusha it’s ok ila akikausha we kausha mazima kujenga heshima yako,hili pia linategemea na kifua cha mtu,kuna watu hawawezi hili na ujue kabisa mwanamke akikukaushia ukaanza kumbembeleza basi anakudharau na kukushusha heshima mazima
Habari za wakati huu wakuu, Nissan Dualis Cross Rider
Price/Bei: 18.8M
Nissan Dualis Cross Rider
Year: 2008
Engine Capacity:1990cc
Automatic Transmission
Colour: Silver
Sports Rims, New Tyres, Black Interior
Very Good Condition
We jamaa una mentality kama yangu asilimia zote,napenda sana kuishi na ho viumbe ki masculine kwa asilimia [emoji817],sijawahi kujutia kumpoteza yeyote na mara zote wao huwa wanarudi kwa misamaha mingi,sometimes kwa hii mentality yangu sijui kama nitaoa aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.