Recent content by Beautifulgirl

  1. B

    JamiiForums Tanzania Wilaya Kaliua na sakata la Mwalimu Johari kupigwa ofisini

    Yaaap lkn wakati mwingine na wenyewe huwa wanajidhalilisha.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Wilaya Kaliua na sakata la Mwalimu Johari kupigwa ofisini

    Nikweli majungu yapo sana makazini
  3. B

    JamiiForums Tanzania Waziri ndalichako fuatilia hawa mwalimu Gunda na kabole wa korogwe chuo cha ualimu

    wewe ndi mkuu nini? basi kuna shida hapo tena kubwa nadhani mkuu aliepandishwa cheo ndio alikuwa anafaa zaidi kwani kuna baadhi ya mambo alivyoletwa kutoka songea ttc alifanya ambadiliko ya haraka na alisaidia chuo mpaka wanafunzi kubwa ya wengi wamefaulu kwa kiwango cha juuu. Shida ya...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Waziri ndalichako fuatilia hawa mwalimu Gunda na kabole wa korogwe chuo cha ualimu

    haya mambo yasikie kwa watu papuchi yangu ilinusurika kuliwa na wenye tamaaa hao waliotajwa sio
  5. B

    JamiiForums Tanzania Waziri ndalichako fuatilia hawa mwalimu Gunda na kabole wa korogwe chuo cha ualimu

    usiwatetee hao mimi nawajua vizuri kwanza ni miongoi mwa idara ambazo zinaendeshwa hovyo hovyo na inaongoza kwa kuvujisha mitihani mitihani mingi tuliofanya pale mara nyingi wasichana waliotumiwa na waalimu walikuwa nayo siku 3 kabla ya pepa poleni sana
  6. B

    JamiiForums Tanzania Waziri ndalichako fuatilia hawa mwalimu Gunda na kabole wa korogwe chuo cha ualimu

    Humu huwa wanapita mkuuu nilipita pale korogwe ttc madudu hayo yapo mengi tuuu niliwahi kutongozwa na gunda akawa ananiletea fujo kesi ilifika mpaka kwa mama mwadili lakini niliambiwa wewe umeikuta tasisi na taratibu zake kwahiyo siwezi kuibadilisha. kwahiyo nilikomaaa kibishi mpaka...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Daktari anasoma miaka 5-7 na mhandisi anasoma miaka kati ya 3-4 lakini ona tofauti ya mishahara kati yao hapa chini

    Diploma pharmacy analipwa sh ngapi?! Katibu wa hospital analipwa sh ngapi?!
  8. B

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wanadai wamesitisha uhamisho mbona Wafanyakazi wanahama kwa kulipia kuanzia Tsh 700,000 mpaka 1,000,000?

    Mimi sinto toa namba mtu humu ila naaapa kwa dini huuu mchezo upo na umeshamiri tena kwa asilimia kubwa
  9. B

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wanadai wamesitisha uhamisho mbona Wafanyakazi wanahama kwa kulipia kuanzia Tsh 700,000 mpaka 1,000,000?

    Wafuatilie barua zote za uhamisho nyingi ni za watu wametoa pesa na wanachokushaghuli baaada ya kutoa pesa nikuandika barua ambayo itaaapitishwa na mkuu wako wa idara yeye ataaandika chochote kile kwenye barua yako lakini mtumishi atahamishwa kutoka kituo X Kwenda kituo Y. Asilimia 95 za barua...
  10. B

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wanadai wamesitisha uhamisho mbona Wafanyakazi wanahama kwa kulipia kuanzia Tsh 700,000 mpaka 1,000,000?

    Hujui kama uhamisho ni haki yako mdada ?! Haya bhana endeleza league tuuu lakini hayo mambo sio njema rushwa tena za malaki
  11. B

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wanadai wamesitisha uhamisho mbona Wafanyakazi wanahama kwa kulipia kuanzia Tsh 700,000 mpaka 1,000,000?

    Wafuatilie barua zote za uhamisho nyingi ni za watu wametoa pesa na wanachokushaghuli baaada ya kutoa pesa nikuandika barua ambayo itaaapitishwa na mkuu wako wa idara yeye ataaandika chochote zilizotumwa kwenye halmashauriu uhamisho ni haki yako mdada
  12. B

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wanadai wamesitisha uhamisho mbona Wafanyakazi wanahama kwa kulipia kuanzia Tsh 700,000 mpaka 1,000,000?

    Hili lina maslahi kwa wote kama wizara inayosimamia hili pia kwa watumishi wake
Back
Top Bottom