Sasa tumeshajua waliwatesa babu na bibi zetu kwa nini yunaendelea kuwathamini hawa jamaa (wazungu na waarabu), kwa sababu wakija kwetu wao wanapewa nafasi ya juu katioka ajira, uwekezaji wanapewa na mishahara minono wanapewa wao hivyo basi bado mpaka sasa Waafrika hatujaamka na hatupaswi...
Katika mtzazamo wangu nimegundua kuwa Taifa linaloendelea halihitaji wasomi wa juu sana katika uongozi wa kisiasa nikimaanisha raisi na wateule wake, bali viongozi wengine wasio na uhusiano wakisiasa moja kwa moja wanapaswa kuwa wasomi. ukiangalia wateule wote ambao wanatumikia nafasi za kisiasa...
Kwa akili ya kawaida ni vigumu kuamini kama J. Ntatiro angehama chama cha upinzani lakini kutokana na viashiria vya chama tawala hilo halikwepeki cha kufanya sasa hivi ni kupokea tu taarifa maana alishapangiwa mipango tokea muda ambao ulikuwa ukisubiriwa kwenye makubaliano juu ya mapokezi.
Watu...
Sera za Raisi wetu wa awamu ya tano ni nzuri sana kujenga Tanzania ya viwanda ili kuiwezesha kuingia katika uchumi wa kati lakini je swali la kujiuliza itawezekana kwenda sambamba na uwezo wa wananchi wake kwenye uwezo wa kufaidi au kumudu bidhaa zitokanazo na viwanda hivyo?. Mambo mengi...
Sera za Raisi wetu wa awamu ya tano ni nzuri sana kujenga Tanzania ya viwanda ili kuiwezesha kuingia katika uchumi wa kati lakini je swali la kujiuliza itawezekana kwenda sambamba na uwezo wa wananchi wake kwenye uwezo wa kufaidi au kumudu bidhaa zitokanazo na viwanda hivyo?. Mambo mengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.