Pile sana kama wewe ni mjuzi wa mambo ya mtandao ingia ktk Google andika neno mindfulness au jina Dr Jon Kabbat Zinn kisha bofya fuatilia yote yaliyoandikwa humo utashangaa tatizo lako siyo kubwa kama unavyofikiri hiyo hali itakutoka ukifuatilia nilichokwambia
Aisee nimependa sana hii makala yako ahsante sana Mimi ni mpenzi wa taamuli na tangu nimeanza kufanya mabadiliko makubwa nimeyaona zamani nilitawaliwa na hofu sana siku hizi inaendelea kupungua na ni kwa sababu ya taamuli na like kinachoitwa mindfulness kuna bingwa hii anaitwa Dr Jon Kabbat Zinn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.