Kwahyo hilo gar na nyumba kaipataje kama sio kuwork hard kufikia alipofikia coz mm nimejionea kwa macho yangu na pia kanunua nyumba kwenye apparment Na huwa anasafiri nje kupitia hiyo hiyo busness ni ndugu yangu namfahamu sio kwamba nimeskia na pia nikashawishika kujiunga kwel nikiuza percentage...
Sio kila network marketing ni ya uwongo coz mm kunamtu namfahamu yupo forever living alikuwa hana gar wala hela ila now anagari na nyumba ila yupo kwenye Hiyo busness 10yrs now coz ts all about finding a customers wanunue ile product ulipwe percentage yako inaingia bank mm nikikuwa nina mindset...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.