Taitizo mshazoea kusajili majina sio vipaji. Nakuhakikishia SSC wakiongeza gear kidogo toka walipokuwa last season mambo yatakuwa mazuri sana. NYIE MBELEKO FC HUWA MNASUMBUA SANA WAKATI WA USAJILI LIGI IKIANZA WA KAWAIDA SANA
SAD NEWS: Mavugo hatajiunga na Simba kwa kuwa Vital'O wamepanda dau toka 100millions hadi 200mil afu waendelee kumiliki 50% pindi akiuzwa.
My concerns: let's be professional, utatangazaje kuwa umemsajili mchezaji fulani kabla hamjamalizana na klabu yake. viongozi wetu wamezoea kukurupuka...
Hapana bt angalia jinsi kaaseja alivyotoka Simba, mashabiki wa Simba hasa wa Dar walianza kumkataa mpaka uongozi ukamtosa.
Vile Kaseja huwa hawaivi na Ivo kumleta ndo yataanza ya kuwagawa wachezaji. Licha ya hivyo na yeye ana kaunafiki.
Wazee waishie kwa Boban JKJ hapana akasome ukocha tu
Hata mimi simkubali Kaseja, yule anatabia za akina Zitto za Kinafiki. Boban kama mwalimu ni mwanasaikolojia sawa make hana maneno zaidi ya kazi. Mwalimu amfunde kupunguza hasira.
cc: Sembo na qote walio karibu na uongozi
samahani mkuu kwa kutoka kwenye mada, hawa kampuni ya jumia wameweka simu ambayo ni inactive najaribu kuwapigia ili nipate jezi simu haipatikani. wasitue watuwekee active namba tupate huduma hiyo
Mi nlidhan kuwa watu wa humu ni MAGT, kumbe wengine ni vilaza tu . wazungu hawana papara km ninyi mti anacheza kama yuko na mechi fitness. kusajiliwa juzi wewe umeanza kushangaa kwamba hajajumishwa kwenye kikosi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.