Mkuu mbona picha inajieleza huyo shabiki kiti alichokishika rangi yake sio mojawapo ya viti ambaye vinavyopatikana kwenye hilo jukwaa inaonekana mashabiki wa timu pinzani ndio waliokirusha huyo shabiki wa simba inaonekana akikirusha kilipotoka kwa mtindo wa jazba
Mwezi mmoja uliopita nilimuombea rafiki yangu visa anaeishi Nigeria si mara yakwanza kumuombea nahuwa anakuja ila this time ilishindikana huwa naomba kupitia online nimelipia gharama za visa majibu yamekuja reject nikaomba mara yapili malipo ya application wanachukua lakini majibu yanakuja...
Bila kupepesa macho kampuni ya tigo upande wa tigo pesa wanahuduma dhaifu ni rahisi kubadilisha namba ya siri kama vile kumtoa inzi aliyeifia kwenye povu la pombe
Kama upo serious nicheck pm nikufanyie connection kuna pisi 2 pisi ya Kigogo na pisi ya Kirangi zote zinasoma chuo mmoja yuko Mbeya mwingine yupo Dar, Anayesoma Mbeya yupo tayari kuolewa ila inayosoma Dar bado anajiona mtoto hana wazo lakuolewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.