Recent content by battle2

  1. battle2

    JamiiForums Tanzania Tatizo lipo wapi?

    Huenda linaanzia hapa, Wenye mamlaka hawajui kama wana-mamlaka wanabaki kulalama, Wangetumia mamlaka yao wasingelalama. Waliopewa mamlaka wanahisi wao ndiyo wenye mamlaka, Na kutokana na ufahamu wao wanapambana kuwaaminisha wenye mamlaka kwamba wao ndiyo wenye maamlaka. Kinachofuata ni...
  2. battle2

    JamiiForums Tanzania SoC03 Tanzania lini utanifanya nitabasamu?

    Tanzania nchi yangu nakupenda japo unanipa maumivu kila kukicha. Umejaliwa kila kitu cha kunifanya nitabasamu lakini tabasamu sipati. Nimekukosea nini? Niambie basi nielewe, kama ni samahani nikuombe. Vitu vingi umejaliwa vya kunifanya nijivunie uwepo wako lakini nabaki kulialia kila siku...
Back
Top Bottom