Recent content by battawi

  1. battawi

    Rais Samia -"wanasiasa wajanja", Nyerere "wanasiasa wanyonyaji"-'kupe"

    Nyi nyi watu msiojuwa matumizi sahihi ya misamiati ya kiswahili. Biashara ni makubaliano kati ya muuzaji na mnunuzi. haijalishi ufahamu wake wa soko kuwa zuri au baya,kinachotazamwa ni makubaliano ya muuzaji na mnunuzi yasiyo na shinikizo. Biashara zenu hizo za Stakabadhi Ghalani ni aina ya...
  2. battawi

    Hakuna Dini iliokuwa haijapitia misuko misuko ya Kisiasa- hii hapa kwa ndugu zetu Wakiristo

    Mimi ni Muislamu Lakini hapa Hoja yako ina ukweli fulani,"kwa nini waislamu wanashirikiana na mayahudi na wakiristo dhidi yawaislamuwenzao"? Jibu ni rahisi tuu Shetani hawezi kufanya kazi bila ya kutumia Chombo. Vyombo vya shetani ni:- -Kafiri -Yahudi -Mkiristo na Wanafiki. Waislamu...
  3. battawi

    Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

    KAMA MBINGUNI KUSINGELIKUWA NA STAREHE ZA ZIADA , MAISHA YA DUNIANI YASINGELIKUWA NA MAANA YOYOTE KWA KUJINYIMA KUVUMILIA MAUDHI YA MAJITU KAMA NETANYAU NA TRUMP. TUNGELIKWISHA MALIZANA HAPA HAPA DUNIANI LAKINI MAMBO SIVYO YALIVYO. BILA YA HIVYO Tungeliishi kama wanyama na kukamata mabinti a...
  4. battawi

    Upinzani nchini umegonga mwamba dhidi ya nguvu na ushawish wa kisiasa wa DR.Samia Suluhu Hassan KWA wananchi, mijini na vijijini kitaifa na kimataifa.

    Ama Laana Hii irudie kwako mleta maneno haya. Hatuwalaanigi Viongozi wa Nchi. Kwani ikiwasibu Laana ,na sisi wananchi hatuna salama. Mungu awarehemu na awape Huruma na Upendo kwa raia zao. Amin na Hii laana Akugeuzie mwenyewe. Amin
  5. battawi

    Upinzani nchini umegonga mwamba dhidi ya nguvu na ushawish wa kisiasa wa DR.Samia Suluhu Hassan KWA wananchi, mijini na vijijini kitaifa na kimataifa.

    Nadhani ulikusudia kutwambia tusiache kuishinikiza serikali katika hili la KATIBA MPYA
  6. battawi

    Rais Samia aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

    hapa hakuna Upuuzi huo. Watanzania wanajitambua, Hawapendi kuleta rabsha zisizo na Faida kwa RAIA. Kwani Mageuzi ya Vyama Vingi yaleletwa na Maandamano? Ni akili tuu na ukima wa kimkakati. Walijuwa Kuwa Watanzania wameshachoka na chama kimoja. na kwa sasa wakijua kuwa mumechoka na CCM...
  7. battawi

    Rais Samia aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

    Lakini Mtalii ajiandae kisaikolojia. Wazalendo wa zanzibar wameamua kuleta Mamlaka Kamili, Zanzibar Mpya, Zanzibar yenye umoja.
  8. battawi

    Ukipinga Kodi kwa kufunga duka unamkomoa nani? Tujifunze kwa Wakenya

    WEWE MGONJWA SANA. MUONGO SANA, Kwa maandamano wengi tuu wameuwawa na kuumizwa, labda ulikuwa ujazaliwa. Kuna Jan 27 kKule pemeba miaka ileya mkapa. hata Mwaka Juzi wakati Mwinyi anagombea uraisi, Zanzibar Kuna mauwaji makubwa yalifanyika baaada ya Maandamano kudhibitiwa na wengi kujeruhiwa...
  9. battawi

    Unyama mwingine wa Tanpol. Aminywa mapumbu na kuteswa akituhumowa kuiba Mil 17 za DED Kilwa. Sasa hawezi kusimamisha dudu.

    HAWA WATU WANABAKA KINUME CHA MAUMBILE NINI? any way tuacheni kununa simu za mikononi. Usalama wetu uko hatarini. rahisi inazaa madhara.
  10. battawi

    Tanzania imara inahitaji mambo matatu

    Hayo hayatowezekana chiniya CCM CCM wenyewe ndio wavunjaji maadili, Wanaunga mkono USHOGA ambao unamkera sana MUNGU wetu. Wanapiga sana hela za Umma bila kuhojiana pale zinapoibwa fedha za Umma na mmoja wao. Ubadhirifu mkubwa wa fedha za Umma ndani ya serikali ya CCM ikiwemo kutumia kwa...
  11. battawi

    PreGE2025 Babu Duni aeleza umuhimu wa kuunganisha nguvu kupambana na CCM

    Babu nakupa Hongera ,umegusa ndipo na uchambuzi wako muwafaka kabisa wala hauna mpinzani
  12. battawi

    Unaionaje Gen Z ya Tanzania?

    Gen Z wa TZ wanafuatilia mipira ya Manchesta na Liverpool, wengine Simba na Yanga,
  13. battawi

    Kama kila kitu kinachotokea kwenye maisha ya binadamu ni mpango wa Mungu then kwanini Wakristo na Waislamu hufanya jambo hili?

    { وَمِنَ ٱلنَّاسِ مَن يُجَٰدِلُ فِي ٱللَّهِ بِغَيۡرِ عِلۡمٖ وَيَتَّبِعُ كُلَّ شَيۡطَٰنٖ مَّرِيدٖ } [Surah Al-Ḥajj: 3]: Na miongoni mwa watu wapo wanao bishana juu ya Mwenyezi Mungu bila ya ilimu, na wanamfuata kila shet'ani aliye asi. { كُتِبَ عَلَيۡهِ أَنَّهُۥ مَن تَوَلَّاهُ فَأَنَّهُۥ...
  14. battawi

    Ukweli mchungu: Asilimia kubwa ya Wakristu na Waislamu duniani wanafanya ibada ya sanamu bila kujua kama wanafanya ibada ya sanamu

    Mbona rahisihii Hebu Soma maneno ya Mungu Mwenyewe anasema:- { وَمِنَ ٱلنَّاسِ مَن يُجَٰدِلُ فِي ٱللَّهِ بِغَيۡرِ عِلۡمٖ وَيَتَّبِعُ كُلَّ شَيۡطَٰنٖ مَّرِيدٖ } [Surah Al-Ḥajj: 3] "Na miongoni mwa watu wapo wanao bishana juu ya Mwenyezi Mungu bila ya ilimu, na wanamfuata kila shet'ani aliye...
  15. battawi

    Ukweli mchungu: Asilimia kubwa ya Wakristu na Waislamu duniani wanafanya ibada ya sanamu bila kujua kama wanafanya ibada ya sanamu

    Huwezi kumpangia Muumba amna ya kutenda. Yeye Mungu ndiye aliyeamua iwe hivyo. Omba utakalo lakini atakupa atakalo yeye. Pia Mungu atakuweka anapotaka yeye uwepo kwa hekima yake si maamuzi yako wala wafuasi au wazazi wako. Hata uombe nini Mungu ameshakuamulia nini upewe,nini kikufoke katika...
Back
Top Bottom