Recent content by battawi

  1. battawi

    JamiiForums Tanzania Nafungua Masikio Kumsikiliza Emmanuel Nchimbi, na Wengine Wooote wa Aina Hiyo Waliopo Huko

    Mimi sijui urafiki wa Samia na Lisu ulianzia wapi na Uadui wao umekuja kivipi. Hizi siasa zina mauza uza mingi sana. Namuoba Antipasi lisu apunguze kutunisha msuli , karibu ataachiwa huru. Mama anamjali sana, ila nadhani amemuweka ndani kwa Usalma wake. Maana Wauwaji waliompiga risasi enzi za...
  2. battawi

    JamiiForums Tanzania Nafungua Masikio Kumsikiliza Emmanuel Nchimbi, na Wengine Wooote wa Aina Hiyo Waliopo Huko

    Mwaliu Nyerere aliwahi kusema kuwa mabadiliko ya kweli yatatokea ndani ya CCM. Huenda ikawa Nchimbi kachimba chini kwa chini hadi kuibuka na Ajenda ya Wapinzani na wanaharakati akiwa ni kiongozi mwandamizi katika Serikali na Kigogo cha CCM alliyekwisha shilia nafasi Kadhaa nyeti ikiwemo Katibu...
  3. battawi

    JamiiForums Tanzania Bikra is Overrated

    Umeowa mara ngapi? au ulikuwa unavunja hekkalu za Mungu tuu?
  4. battawi

    JamiiForums Tanzania Kijana jipende, jithamini jiwekee akiba usitie huruma wabongo na michango yao ya kiwaki

    Kwani wewe umesha olewa/Owa? Sasa unajuwa lini utakufa? kama hutaki kuzikwa kijijini m acha wasia ili uzikwe mjini , upanuzu wa barara ukija kaburi inavunjwa na mabaki kulipwa fidia na kupelekwa eneo jengine lisilorasmi au yachimwe moto.
  5. battawi

    JamiiForums Tanzania Rais Samia -"wanasiasa wajanja", Nyerere "wanasiasa wanyonyaji"-'kupe"

    Nyi nyi watu msiojuwa matumizi sahihi ya misamiati ya kiswahili. Biashara ni makubaliano kati ya muuzaji na mnunuzi. haijalishi ufahamu wake wa soko kuwa zuri au baya,kinachotazamwa ni makubaliano ya muuzaji na mnunuzi yasiyo na shinikizo. Biashara zenu hizo za Stakabadhi Ghalani ni aina ya...
  6. battawi

    JamiiForums Tanzania Hakuna Dini iliokuwa haijapitia misuko misuko ya Kisiasa- hii hapa kwa ndugu zetu Wakiristo

    Mimi ni Muislamu Lakini hapa Hoja yako ina ukweli fulani,"kwa nini waislamu wanashirikiana na mayahudi na wakiristo dhidi yawaislamuwenzao"? Jibu ni rahisi tuu Shetani hawezi kufanya kazi bila ya kutumia Chombo. Vyombo vya shetani ni:- -Kafiri -Yahudi -Mkiristo na Wanafiki. Waislamu...
  7. battawi

    JamiiForums Tanzania Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

    KAMA MBINGUNI KUSINGELIKUWA NA STAREHE ZA ZIADA , MAISHA YA DUNIANI YASINGELIKUWA NA MAANA YOYOTE KWA KUJINYIMA KUVUMILIA MAUDHI YA MAJITU KAMA NETANYAU NA TRUMP. TUNGELIKWISHA MALIZANA HAPA HAPA DUNIANI LAKINI MAMBO SIVYO YALIVYO. BILA YA HIVYO Tungeliishi kama wanyama na kukamata mabinti a...
  8. battawi

    JamiiForums Tanzania Upinzani nchini umegonga mwamba dhidi ya nguvu na ushawish wa kisiasa wa DR.Samia Suluhu Hassan KWA wananchi, mijini na vijijini kitaifa na kimataifa.

    Ama Laana Hii irudie kwako mleta maneno haya. Hatuwalaanigi Viongozi wa Nchi. Kwani ikiwasibu Laana ,na sisi wananchi hatuna salama. Mungu awarehemu na awape Huruma na Upendo kwa raia zao. Amin na Hii laana Akugeuzie mwenyewe. Amin
  9. battawi

    JamiiForums Tanzania Upinzani nchini umegonga mwamba dhidi ya nguvu na ushawish wa kisiasa wa DR.Samia Suluhu Hassan KWA wananchi, mijini na vijijini kitaifa na kimataifa.

    Nadhani ulikusudia kutwambia tusiache kuishinikiza serikali katika hili la KATIBA MPYA
  10. battawi

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

    hapa hakuna Upuuzi huo. Watanzania wanajitambua, Hawapendi kuleta rabsha zisizo na Faida kwa RAIA. Kwani Mageuzi ya Vyama Vingi yaleletwa na Maandamano? Ni akili tuu na ukima wa kimkakati. Walijuwa Kuwa Watanzania wameshachoka na chama kimoja. na kwa sasa wakijua kuwa mumechoka na CCM...
  11. battawi

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

    Lakini Mtalii ajiandae kisaikolojia. Wazalendo wa zanzibar wameamua kuleta Mamlaka Kamili, Zanzibar Mpya, Zanzibar yenye umoja.
  12. battawi

    JamiiForums Tanzania Ukipinga Kodi kwa kufunga duka unamkomoa nani? Tujifunze kwa Wakenya

    WEWE MGONJWA SANA. MUONGO SANA, Kwa maandamano wengi tuu wameuwawa na kuumizwa, labda ulikuwa ujazaliwa. Kuna Jan 27 kKule pemeba miaka ileya mkapa. hata Mwaka Juzi wakati Mwinyi anagombea uraisi, Zanzibar Kuna mauwaji makubwa yalifanyika baaada ya Maandamano kudhibitiwa na wengi kujeruhiwa...
  13. battawi

    JamiiForums Tanzania Unyama mwingine wa Tanpol. Aminywa mapumbu na kuteswa akituhumowa kuiba Mil 17 za DED Kilwa. Sasa hawezi kusimamisha dudu.

    HAWA WATU WANABAKA KINUME CHA MAUMBILE NINI? any way tuacheni kununa simu za mikononi. Usalama wetu uko hatarini. rahisi inazaa madhara.
  14. battawi

    JamiiForums Tanzania Tanzania imara inahitaji mambo matatu

    Hayo hayatowezekana chiniya CCM CCM wenyewe ndio wavunjaji maadili, Wanaunga mkono USHOGA ambao unamkera sana MUNGU wetu. Wanapiga sana hela za Umma bila kuhojiana pale zinapoibwa fedha za Umma na mmoja wao. Ubadhirifu mkubwa wa fedha za Umma ndani ya serikali ya CCM ikiwemo kutumia kwa...
  15. battawi

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Babu Duni aeleza umuhimu wa kuunganisha nguvu kupambana na CCM

    Babu nakupa Hongera ,umegusa ndipo na uchambuzi wako muwafaka kabisa wala hauna mpinzani
Back
Top Bottom