Recent content by bato

  1. B

    Nini maana ya ndoto hii?

    Kwa lugha ya mwl JK Nyerere, wewe ni malaya wa siasa.
  2. B

    Rais Samia Awaonya Makhulukutabu wa Nchi, Mjipange Hatutavumilia

    'Kule kwetu..' Kwao wapi?
  3. B

    Serikali itupie jicho mkata hotelini yanaposimama magari ya abiria kwa ajili ya chakula na" kuchimba dawa"

    Mwezi wa funga..hiyo itakuwa daku ilibaki.. acheni kula kula ovyo.. hii ni Ramadan/quadragesmal
  4. B

    Paul Kagame: Mwanajeshi Aliyelelewa na Tanzania, Shujaa wa Ukombozi wa Afrika

    Wewe ni kati ya wageni/wakimbizi katika nchi yetu.. tutakufuatilia,kuna jambo unafahamu,utasaidia.. kwa sasa hata ukikohoa tu,..
  5. B

    Waislam tulio wengi wetu tunamchukia nguruwe kuliko zinaa, kuliko pombe, kuliko usengenyaji n.k

    Mdudu yupo hadi huko UAE.. wanajua kumtengeneza vizuri,hana shombo.. wenye dini yao wala hawana shida naye.. kuna mwarabu wa uvinza,mweusi kuliko mkaa anasikia kichefuchefu,ila anakuywa gongo, hatunzi/ hawajibiki kwa familia..ACHENI UNAFIKI WA MAISHA
  6. B

    Kuvuruga derby ya Simba na Yanga ni kuvuruga usalama wa Taifa na kuhujumu juhudi za Rais.

    Kuahirisha mechi ya yanga vs simba ni kinyume na kanuni.. ni kuhamisha mjadala wa nchi... pia rejea kikao cha ghafla NEC CCM.. yote ni itutoe kufuatilia na kujadili kifo na mazishi ya Prof Sarungi
  7. B

    Hiki ni kiwango kilichopitiliza cha Ukatili kwa watoto

    Huyo maalim amenyimwa mzigo... maana kuwatafuna watoto wadogo ni suna
  8. B

    PreGE2025 Mzee Wasira: Hakuna anayeweza kuahirisha uchaguzi mkuu, watanzania wajiandae

    Huyu babu muda wake umeisha... atupishe.. watanganyika tunataka kulinda raslimali zetu
  9. B

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Huko zenji na mikoa ya pwani..wanawake wanalinda bikra ya mbele.. ila kuliwa nyuma rukhsa
Back
Top Bottom