Mdudu yupo hadi huko UAE.. wanajua kumtengeneza vizuri,hana shombo.. wenye dini yao wala hawana shida naye.. kuna mwarabu wa uvinza,mweusi kuliko mkaa anasikia kichefuchefu,ila anakuywa gongo, hatunzi/ hawajibiki kwa familia..ACHENI UNAFIKI WA MAISHA
Kuahirisha mechi ya yanga vs simba ni kinyume na kanuni.. ni kuhamisha mjadala wa nchi... pia rejea kikao cha ghafla NEC CCM.. yote ni itutoe kufuatilia na kujadili kifo na mazishi ya Prof Sarungi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.