Kifafa inatibika hospitali,sio kulogwa. Tatizo la jamii yetu ni imani za ulozi.. Muda mwingi tunatumia kwa waganga wa kienyeji,(kusomewa,kupungwa,kutolewa majini..),matapeli wa imani(manabii na mitume). Tutumie huduma za tiba kisasa
Tusihusishe matatizo ya familia,hasa vifo(natural deaths) na kesi hii. Family yote inalia hasa mama mtoto. Hata Mbowe alifiwa na kakake,mama mkwe nk, huwezi kusema ni laana ya sabaya/chacha wangwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.