Recent content by batista02

  1. B

    Anayejua mwimbaji wa wimbo huu...

    zipogo ndugu yangu. Hata mad ice anaimbaga hizo makitu
  2. B

    Anayejua mwimbaji wa wimbo huu...

    mkuu, nakumbuka tu kiitikio. ila ni wimbo fulani jamaa akimshukuru demu wake kuwa ndo anamfanya aendelee kuishi akipambana for future success. ni love song
  3. B

    Anayejua mwimbaji wa wimbo huu...

    Pipo, msaada wajameni! juzi nikiwa nasikiliza ka-radio kangu, mara nikasikia wimbo fulani amazing na wataratibu, Rnb fulani ya kibongo. siyo mzuri wa kukariri mashairi lakini nakumbuka kiitikio chake, ...Ni wewe tu x2..! akipokezana na mwanadada kwenye kuimba chorus Nimeusaka kwenye sources...
  4. B

    Hey, mke mwema anatafutwa huku...

    huwezi jua mkuu, huenda member wengine wa JF ni wacha Mungu...you never know
  5. B

    Hey, mke mwema anatafutwa huku...

    Wandugu, nimejitokeza kumtafuta mchumba (mke) humu JF ili tuyaenzi maisha na kutekeleza maandiko ya mwenyezi Mungu. wasifu wangu ni;- mweusi, mrefu almost futi 6 na point kadhaa Nimeelimika and civilized too aged 29 mixture ya kiganda na bongo( Nyankore na kibongo) WASIFU WA BINTI Umri...
Back
Top Bottom