Recent content by batho

  1. B

    JK ateua Mkurugenzi Mtendaji TANESCO

    huyu mramba siyo yule yule mramba jamani? kwani hakuna watu wengine ambao hata majina ya wazazi wao sio makubwa wanaoweza hizi kazi nao wakapewa nafasi jamani?:bored:
  2. B

    CHADEMA ina wasaliti wengi

    Najaribu kufikiria huu mnyukano hatima yake ni nini kwa chadema tusaidiane ndugu zangu. Watu wengine wamesimama na kutoa malalamiko na vitisho kwa viongozi wa juu wa chadema ya kwamba wasifike baadhi ya mikoa na kadhalika. Je, huu ndo mwisho wa chama hiki. Ni kweli hakuna/kuna kosa kwa...
  3. B

    Watz msidanganyike hakuna jema kwenye kambi ya CCM 2015/2020

    endelea kusadiki hivyo CCM itakapoondoa utashangaa na roho yako. uliza kenya KANU iko wapi.
  4. B

    Majibu kwa Nape, Ridhiwan Kikwete na wengine kuhusu elimu yangu na niliposoma

    Hello wana jf. Nawasalimu sana na naomba mnitambue na mimi ni mwenzenu ikiwa ni mara yangu ya kwanza kuungana nanyi
Back
Top Bottom