Inabid ufatilie chuo kwa undani zaid, kama kipo recognized..if am not mistaken kuna kitu wanaita H+ jaribu kuangalia km kipo ranked H+ then ni safe kuchagua
Thanks and Be blessed bro....Nilifika Embassy kuuliza hii issue wakanambia kama una sponsor hamna shida you just need to prove na wao wajiridhishe. Issue ya blocked account naifahamu but hawakunigusia, and i know two guys ambao wamepita bila kuulizwa hii blocked account.
Kwa information nilizonazo, kazi zipo depends na umesoma nn!? Pia unaweza kupata kazi ukiwa unaendelea na masomo. Miji mikubwa kuna alot of opportunities utachagua ww tu
Hopefully wote tupo njema tukiendelea kupambana na hali zetu. Kutokana na hali ya tz kubana sana kumekua na harakati mbali mbali za raia kujaribu kupeperuka na kusaka maisha sehemu tofauti tofauti (Nje ya nchi).
Risk takers, Wazee wa kujilipua na watafutaji njooni tukutane hapa tupeane uzoefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.