Recent content by Basil Mongi

  1. Basil Mongi

    Jinsi ya kuongeza jina la biashara kwenye TIN number

    Weeeeeee kumbe, ya kweli haya mkuu?
  2. Basil Mongi

    Hivi ushawahi kukutana na hii?

    Ss yooote 9 mie 10 nataka kujua hizo hotel ww umejuaje taarifa zake, yaani umezipataje? Kwa mfano tuseme, mgahawa au RESTAURANT fulani najua wana nyama choma, roast, makange, Chakula kizuri maana nillishaaenda kula hapo hivyo vitu so nakuwa na uzoefu na sehemu falani. Ila ww hizo hotel tuambie...
  3. Basil Mongi

    Kuna siri yoyote kwa TV za chapa maarufu kubwa na za kati kuwa kwenye box za kaki na maandishi meupe?

    Habari members, Hivi kuna siri yoyote, anayejua kuhusu TV hizi brands kubwa maarufu na za kati kuwa kwenye box za kaki na maandishi meupe then na zenye sifa zile zile kuwa kwenye box za rangi (yaani picha, jina la kampuni na sifa zake kuwa kwenye painted as colored)?
Back
Top Bottom