Mkutano Wa Chadema London
M4C LONDON
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA KINAPENDA KUWATANGAZIA WATANZANIA WOTE WAISHIO LONDON NA SEHEMU ZA JIRANI KUWA KUTAKUWA NA MKUTANO WA UFUNGUZI WA TAWI LA CHADEMA LONDON. TAWI AMBALO LITAFUNGULIWA NA MHESHIMIWA GODBLESS LEMA
UFUNGUZI HUO UTAFANYIKA...
chaguo la kikwete ni membe,wakina sita na mwakyembe wanakundi lao,lowasa ana nguvu sababu ya busara zake pesa zake ni mwanzilishi wa wanamtandao hivi wakuu wa wilaya wapya ancontact nao wote kutumia intelijensia dhaifu na bwana rostam anatumia pesa za saudia kuwamaliza akina membe na sita patamu...
kilichopo sasa ni kama kuendesha lori la fiat lilikuwa linaendeshwa na msomari (ccm)na ushindane na scania 124 (chadema)watu wataona scania inakupita na wewe unapiga kelele ooh litazimika mbele langu ni la zamani limezoea milima utakuta scania imemaliza mizigo yote barabarani igeni na mtafute...
Ninapenda siasa si mwanasiasa lakini ungejipanga vizuri ningekusaidia saana na ungeweza kiasi kikubwa kubadili mfumo wa chama chenu kwa kujisimamia na kuto attack upinzani attack kwanza wapinzani ndani ya CCM vinginevyo vita yako itakuwa ngumu saan trust me mfumo wenu ni wa kijasusi ndani ya ccm...
Muwaeleze wazee kina msekwa mawazo yao muyaheshimu lakini wakae pembeni wawachie chama ila tu mtawaomba ushauri mkikwama vinginevyo hakuna mabadiliko ya kupaka rangi gari wakati injini ni ya zamani kama kukwama itakwama tu rangi haijarishi
jaribu kutokupangiwa cha kusema wengine wanakulengesha mwisho wa siku wananchi wanaelewa pumba na mchele hata mkiwadanganya vipi maana serikali ya ccm kutumia mahakama kuwahujumu walimu na madaktari ni anguko kubwa kwa ccm kwenye vikao vyenu mlione hilo.
unapoenda kwenye mikutano yako ya kichama badili haya maneno "chadema ni chama cha kigadi maana hizo ni siasa za kitoto ebu fungua macho tazama morogoro mji ulivyo na hamu ya ujio wa chadema ukiwaita magaidi unamkosea kikwete walikutana na wakakubaliana kuhusu kuandika katiba upya hapa utamwita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.