Katibu mkuu ccm akata tamaa,aamua kufurahia pensheni ya chama

Maseto

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
944
545
Wakuu,
Nilikuwa Musoma hivi karibuni kwenye Msiba wa Mzee Fabian Samo aliyekuwa mwenyekiti wa TFF Mkoa wa Mara.Alikuwa mkwe wangu.Katika msiba huo nilibahatika kukutana na ndugu wa karibu sana na Mzee Mukama,Katibu Mkuu wa CCM.
Nilimuuliza ndugu huyo kwa nini Katibu Mkuu huyo ameshindwa kufanya maboresho katika chama,pamoja na kuwa na historia ya msimamo usiotetereka tangu alipokuwa Mkuu wa Chuo cha Kivukoni wakati huo (sasa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere),pia kuwa Afisa Mwandamizi TISS.Nilijibiwa kuwa Mukama alijitahidi sana kushauri na kuandaa mikakati ya kukifufua chama,lakini amekutana na vikwazo vigumu sana,hasa kutoka kwa Mwenyekiti wake ambaye amekuwa akisiliza kwa makini ushauri na kuonekana anakubaliana nao lakini amekuwa mzito mno kuugeuza katika matendo.
Kwa mfano, katika moja ya vikao vya NEC iliamuriwa kuwa wanachama wote,wakiwemo viongozi wa chama na serikali,wanaotuhumiwa kwa ufisadi wajadiliwe ili wakuchuliwe hatua za kinidhamu katika vikao mbalimbali vya kamati za maaadili za chama kwa ngazi mbalimbali husika,kuanzia ngazi ya wilaya hadi taifa.Na mpango kazi pamoja na bajeti viliandaliwa.Utekelezaji wake umeshindikana hadi sasa kwa sababu ya uzito wa mwenyekiti.
Baada ya Mzee Mkama kujiridhisha kwamba hakuna la maana analoweza kufanya, akaamua kukaa kimya na "kula maisha".
Nilitegemea Mhe.Nape angekuwa mkweli na kutolea majibu juu ya haya badala ya kusema kuwa watawawajibisha mafisadi hao kwa kuwavizia wakati wa uchaguzi wa ndani ya chama.
 
Wakuu,
Nilikuwa Musoma hivi karibuni kwenye Msiba wa Mzee Fabian Samo aliyekuwa mwenyekiti wa TFF Mkoa wa Mara.Alikuwa mkwe wangu.Katika msiba huo nilibahatika kukutana na ndugu wa karibu sana na Mzee Mukama,Katibu Mkuu wa CCM.
Nilimuuliza ndugu huyo kwa nini Katibu Mkuu huyo ameshindwa kufanya maboresho katika chama,pamoja na kuwa na historia ya msimamo usiotetereka tangu alipokuwa Mkuu wa Chuo cha Kivukoni wakati huo (sasa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere),pia kuwa Afisa Mwandamizi TISS.Nilijibiwa kuwa Mukama alijitahidi sana kushauri na kuandaa mikakati ya kukifufua chama,lakini amekutana na vikwazo vigumu sana,hasa kutoka kwa Mwenyekiti wake ambaye amekuwa akisiliza kwa makini ushauri na kuonekana anakubaliana nao lakini amekuwa mzito mno kuugeuza katika matendo.
Kwa mfano, katika moja ya vikao vya NEC iliamuriwa kuwa wanachama wote,wakiwemo viongozi wa chama na serikali,wanaotuhumiwa kwa ufisadi wajadiliwe ili wakuchuliwe hatua za kinidhamu katika vikao mbalimbali vya kamati za maaadili za chama kwa ngazi mbalimbali husika,kuanzia ngazi ya wilaya hadi taifa.Na mpango kazi pamoja na bajeti viliandaliwa.Utekelezaji wake umeshindikana hadi sasa kwa sababu ya uzito wa mwenyekiti.
Baada ya Mzee Mkama kujiridhisha kwamba hakuna la maana analoweza kufanya, akaamua kukaa kimya na "kula maisha".
Nilitegemea Mhe.Nape angekuwa mkweli na kutolea majibu juu ya haya badala ya kusema kuwa watawawajibisha mafisadi hao kwa kuwavizia wakati wa uchaguzi wa ndani ya chama.[/QUOTE

Wewe ndio tulikula wote pale airport baada ya kuwa tumepoteana kwa muda mrefu?
 
Wewe ndio tulikula wote pale airport baada ya kuwa tumepoteana kwa muda mrefu?
Amejitambulisha kuwa ni mkwe wa marehemu. Kama mmoja wa mliokula nao ameoa kwa marehemu basi ndiye huyo. Pole mkuu Maseto kwa kufiwa na baba mkwe wako.
 
Nilitegemea Mhe.Nape angekuwa mkweli na kutolea majibu juu ya haya badala ya kusema kuwa watawawajibisha mafisadi hao kwa kuwavizia wakati wa uchaguzi wa ndani ya chama.
Mura na nyie michosho hasa, kwani wewe ni msemaji wa hicho Chama? waachie wenyewe watapatana ww chukua jembe ukalime, hata Mukama akichoka km Makamba atakaa pembeni kwani kazi yao sio kupika ugali eti wakichelewa mpaka 2015 uji utageuka jiwe badala ya ugali. Mkutano Mkuu ni mwezi ujao wa 10/2012 kila kitu kitaenda
 
Wakuu,
Nilikuwa Musoma hivi karibuni kwenye Msiba wa Mzee Fabian Samo aliyekuwa mwenyekiti wa TFF Mkoa wa Mara.Alikuwa mkwe wangu.Katika msiba huo nilibahatika kukutana na ndugu wa karibu sana na Mzee Mukama,Katibu Mkuu wa CCM.
Nilimuuliza ndugu huyo kwa nini Katibu Mkuu huyo ameshindwa kufanya maboresho katika chama,pamoja na kuwa na historia ya msimamo usiotetereka tangu alipokuwa Mkuu wa Chuo cha Kivukoni wakati huo (sasa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere),pia kuwa Afisa Mwandamizi TISS.Nilijibiwa kuwa Mukama alijitahidi sana kushauri na kuandaa mikakati ya kukifufua chama,lakini amekutana na vikwazo vigumu sana,hasa kutoka kwa Mwenyekiti wake ambaye amekuwa akisiliza kwa makini ushauri na kuonekana anakubaliana nao lakini amekuwa mzito mno kuugeuza katika matendo.
Kwa mfano, katika moja ya vikao vya NEC iliamuriwa kuwa wanachama wote,wakiwemo viongozi wa chama na serikali,wanaotuhumiwa kwa ufisadi wajadiliwe ili wakuchuliwe hatua za kinidhamu katika vikao mbalimbali vya kamati za maaadili za chama kwa ngazi mbalimbali husika,kuanzia ngazi ya wilaya hadi taifa.Na mpango kazi pamoja na bajeti viliandaliwa.Utekelezaji wake umeshindikana hadi sasa kwa sababu ya uzito wa mwenyekiti.
Baada ya Mzee Mkama kujiridhisha kwamba hakuna la maana analoweza kufanya, akaamua kukaa kimya na "kula maisha".
Nilitegemea Mhe.Nape angekuwa mkweli na kutolea majibu juu ya haya badala ya kusema kuwa watawawajibisha mafisadi hao kwa kuwavizia wakati wa uchaguzi wa ndani ya chama.[/QUOTE

Wewe ndio tulikula wote pale airport baada ya kuwa tumepoteana kwa muda mrefu?

no way,not me,DR
 
siku hizi hicho kimekufa madaraka yote yapo kwa katibu muunezi na mwenyekiti chama kama chama hakina maamuzi mpaka pawe na shinikizo la cdm..
hata mikutano ya hadhara hawajui wafanye wapi na waongee nini wanasubiri cdm wakienda morogoro na wao nyuma ccm wamekuwa kama wapinzani wamesahau kaka wao ndio wenye majukumu ya kusongesha nchi mbele utashangaa bado wanaendelea kutoa ahadi badala ya kusema kwa wananchi nini wamefanya
tumechoshwa na ahadi za miaka 50
 
Kuna habari kuwa Mukama ATAACHISHWA kazi siku za karibuni. Huenda mwaka mpya 2013 utamkuta MSTAAFU!
 
Back
Top Bottom