Recent content by barracuda

  1. B

    Ndugu zangu, Waziri Mkuu hatuna hapa! Ni kichekesho na kasheshe

    kasema hela za sherehe za uhuru zitaenda kujenga miundombinu iliyoharibiwa zikiwemo zahanati ili watanzania watibiwe..... mlimsikia ?? hivi ni zahanati gani iliharibiwa na waandamanaji
  2. B

    Serikali ya Chama cha Mwalimu, Chama cha ukombozi wa Afrika, Chama cha kijamaa, leo imeshtakiwa ICC. Julius Nyerere anabingirika kaburini

    ROSTAM AZIZ, Mweka Hazina Mstaafu wa CCM, anasema alipoanza mishe zake chamani, alikuta fomu za CCM hazina mahala pa kujaza MFANYABIASHARA. Chama kiliundwa kwa raison detre (SABABU YA UWEPO) ya kupigania wanyonge, masikini wa kutupwa, wakulima na wafanyakazi. Yeye anasema akasukuma...
  3. B

    Kila kitu wao ni mwendo wa kuhonga, kununua. Baada ya bad press ya mauaji, serikali yatangaza waandishi kuanzishiwa mfuko wa mikopo "kama wasanii."

    Hakuna waandishi bongo. Wote ma idiot. Eti kwenye press conference ya leo na Mwigulu, waandishi wameweka mwenzao (Mwenyekiti) ndio anawadhibiti jinsi ya kuuliza.... hilo lishajibiwa.... hilo hapo halijakaa sawa.... hilo hapo sijalielewa.... HUJALIELEWA KWANI UMEULIZWA WEWE BALILE ...
  4. B

    Kila kitu wao ni mwendo wa kuhonga, kununua. Baada ya bad press ya mauaji, serikali yatangaza waandishi kuanzishiwa mfuko wa mikopo "kama wasanii."

    Wamechafuka na bad press ya mauaji, duniani kote wananuka damu. Hawawezi ku control foreign press. Wanajaribu wa ndani. Msigwa anatangaza sasa waandishi watapewa mfuko wa mikopo kama wasanii. Mliona wasanii ndio fani ya maana saaaana, ili kuitumia itangaze CCM. Very selfish party. Sasa...
  5. B

    Katiba Mpya itamke, pale ambapo senti ya serikali imetumika kwenye Tume ya Uchunguzi, ripoti lazima iwekwe wazi

    Ya Mzee Kibao ilisemaje? Huyu Jaji Othman ashaandika ripoti ngapi kwa mfano? Ziko wapi? Au huyo Balozi Ombeni Sefue, mshamsikia kwenye matume mangapi ? Ziko wapi ripoti alizoshiriki? Kwa nn huwa hawadai ripoti zao zifanyiwe kazi kama ambavyo Jaji Warioba anaishi akihubiri rasimu ya Katiba...
  6. B

    PostGE2025 Eti yaliyotokea "yametutia doa kidogo." Damu za maelfu kumwagika ni doa kidogo? Unakosa utu kiasi hicho?

    Na yeye ndio walisema amekuja kurekebisha image ya nchi aliyoiharibu Magu Hawakusema hivyo ? Sasa Tanzania ni banana republic kama Somalia na Sudan
  7. B

    PostGE2025 Eti yaliyotokea "yametutia doa kidogo." Damu za maelfu kumwagika ni doa kidogo? Unakosa utu kiasi hicho?

    Watu wamekufa kwa maelfu yeye anasema imetutia doa kidogo. Anajaribu ku minimize ukubwa wa skandali la mauaji. Hana utu hata kidogo. Na hili la kusema itabidi atumie rasimali za ndani ni janja janja ya kutuandaa ki saikolojia ili auze, agawe, na kuhondomola ardhi na migodi na misitu na mali...
  8. B

    PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi 2025

    Hawa watu wa tume hawana sifa Kwa sababu hawa watu hawana heshma ya kuwa ma statesmen Hatujawahi kuwasikia hata siku moja, hata mmoja, wanatamka kitu cha ki statesman cha kuikanya serikali, kushauri taifa, kutetea taifa, kutetea wananchi Yani, zaidi za kazi zao za ajira, hawajawahi kufanya...
  9. B

    Picha: Bashasha na tabasamu za JK zageuka uso wa ndita na hatia

    bungeni hapo.... pembeni yake ni Mpango anasimama kutambulishwa baada ya JK kutambulishwa... muda wote alikuwa na uso wa guilty concious
  10. B

    Picha: Bashasha na tabasamu za JK zageuka uso wa ndita na hatia

    Bashasha na tabasamu siku alipoihondomola CCM kwa kulazimisha jina la ampendae yeye lipite bila mchakato... Kikaja kikaharibika.... Wananchi wamelikataa jina, watu wameimba mitaani HATUMTAKI HATUMTAKI HATUMTAKI... kisha wakamwagwa damu zao...
  11. B

    PostGE2025 Wizara ya Afya imefuta post ya kukanusha video ya Mwananyamala

    Wizara inakunasha kuwa picha hii ni ya upotoshaji Kwa maneno mengine unakiri kwamba ni ya uhalisia Aliyetumwa kutoa statement hajui Kiswahili, na kichwani hamnazo. Sijui ni karani wa darasa la saba ??
  12. B

    PostGE2025 WARNING:⚠️Namna Serikali inavyowakamata Wanaotuma picha Za Mauaji Mtandaoni: Na jinsi unaweza kujilinda

    How to remove EXIF data KWENYE WINDOWS Right-click the image and select Properties then click the Details tab. Click Remove Properties and Personal Information KWENYE SIMU / Nenda Gallery, / Chagua picha / Bonyeza SHARE / Utaona text button, ki button kinasema OPTION / Bonyeza OPTION...
  13. B

    PostGE2025 Gen Z: Msamaha wa Samia umekataliwa. Tunasisitiza wafungwa wote waachiwe haraka

    Tunapinga Azimio Na. 2 la kuundwa kwa Tume ya Upatanishi na Usuluhishi. SABABU: Linapingana na Azimio Na. 4 linalotaka wauaji wakamatwe wafikishwe mahakamani. MANTIKI: Unapatana vipi na miuaji ambayo unasema tuyapeleke mahakamani ????????? Duniani kote hayo ma truth and reconciliation...
  14. B

    Kuchanganyikiwa na kutokuwa na akili kwa wanaojiita wanaharakati

    Wanaharakati wameajiriwa na Open Society, wanalipwa wafanye uchochezi. Na hiyo kampuni ya Open Society inapataje faida pakiwa na uchochezi ?? Kwa hoja dhaifu na za ki zinjanthropus kama hizo, mnawezaje kushawishi umma ??????? Ndo maana Maria Sarungi na Mange Kimbambi wanawapeleka puta...
Back
Top Bottom