Recent content by Bariki Shayo

  1. B

    Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Wanachokifanya viongozi kitawagharimu sana baadae. Kwa Sasa Wana kiburi sana! Tutakuwepo
  2. B

    TRA yaikadiria ACACIA deni la Tsh. Trilioni 425.4 kama Malimbikizo ya Kodi

    Muda wa kunyolewa bila maji unakuja kama alivyosema mwanasiasa mmoja!
  3. B

    Uteuzi wa Kitila: Zitto asema Rais ameamua kuunganisha nchi kwa kufanya kazi na watu wote

    Tatizo la watanzania ni njaa kama anavyosema hashim rungwe. Ninajiuliza kila siku hiki chama cha ACT WAZALENDO kipo mrengo upi. Maana upinzani hakipo kabisa. Leo unampongeza magufuli wakati amenyamazisha uhuru wa habari,mikutano na bunge live! Hakuna upinzani hapa tz
  4. B

    Sakata la Makonda: Ruge wa Clouds Media ahojiwa na Polisi

    Inapaswa sisi watanzania kujiuliza wote kwa pamoja kuwa daudi albert bashite anampa nini dr? Sio kawaida kwakweli. Kuna kitu nyuma ya pazia hatukijui wanapeana
  5. B

    Muungano wa Madaktari wa Kenya, wawakataa Madaktari wa Tanzania

    Serikali yetu inakwenda kuwatoa kafara raia wake ambao ni madktari huko kenya. Inawataka wakainhilie mgogoro uliopo kati ya serikali ya kenya na madaktari wake. Msindeeeeeeeee. Mwafaaaaaaaaaaa
  6. B

    Lema: Viongozi wa Dini wakiendelea na Uoga Nitafungua Kanisa, Naliita Godbless Church

    Anataka kanisa lianze kuhubiri siasa badala ya neno la mungu? Awache hayo mawazo yake mungu hajaribiwi. Kanisa sio biashara. Siasa ina viwanja vyake,sio kanisani
  7. B

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Hahaaaa,gwajima ukimpiga na bomu yeye anakupiga na kombora la nyuklia. Daudi bashite atakomajeeee
  8. B

    Ukitaka kujiajiri elimu ya kidato cha nne inatosha, kusoma hadi chuo kikuu ni kupoteza muda

    Kujiajiri ni swala muhimu sana kwa sasa. Ni kweli kuwa katika mafanikio mara nyingi sio lazima ukuwe na elimu kuuubwa. Ila ukiwa na elimu kubwa inakupa wewe courage ya ku take risk wakati utakapojiajiri. Kupata maarifa ni kitu muhimu sana,ila ukishapata maarifa,lazima lazima kujiajiri ama...
  9. B

    Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

    Makonda akwende ku update list yake kwa kuongeza jina la Masogange. Wanasema wahenga kuwa lisemwalo lipo. Akamhoji na huyo binti maana amekuwa akishutumiwa na watu wengi sana. Anakuwa mkali kama mbogo maslahi yake yakiguswa. Pia anatakiwa aje aseme amepata wapi utajiri alionao. Shutuma za mbunge...
  10. B

    LINDI: M/kiti wa CHADEMA na Katibu wa tawi la Nyangamara wahukumiwa miezi 8 bila faini

    1kkkkkakakakwakeli upinzani wakaze moyo. Maana hawa wanaofanya kazi za mahakama wanatoa hukumu kwamakusudi ili kuwaweka busy watu kama akina tundu lisu kushughulikia kesi nankukata rufaa kuliko kujenga chama na kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mdogo.
Back
Top Bottom