Kama anatumia maziwa ya mama pekee( Exclusive Breastfeeding) sio tatizo ila kama mnampa na vitu vingine kama maziwa mbadala n.k muache kwanza atimize miezi sita.
Hayo maumivu kawaida pia uko mwishoni Fanya mazoezi ya kutembea yanasaidia kupunguza maumivu na jitahidi unywe maji si chini ya glass nane kwa siku(2litres)
Mpake mafuta ya nazi kuzunguka pua yake karibu na matundu inasaidia kulainisha mafua yatachuruzika apate kupumua vizuri yakikauka unampaka tena.Hii itasaidia aweze kunyonya na kadri ananyonya sana ndo tiba nzuri ya mafua kupona.
Akibanwa na mafua anashindwa kunyonya so ikishindikana mpeleke...
Kuwa na subra ndugu hizo presha zako hata si nzuri kabisa Mbona mtawapata watoto wa kutosha yaan vile mnataka.
Sisi toka 2016 tumekuja kupata 2019 November
Wala asitoe hiyo mimba anaweza kuendelea kunyonyesha huku ujauzito unaendelea kukua vizuri.
Muhimu aanze clinic mapema apewe elimu sahihi aanze kunywa Folic acid na Calcium.
Upande wa vyakula abase zaidi kwenye protein food na vegetable.
Kaa chini zungumza na mkeo hizo tabia zake anazoonyesha kuna vitu vinamsumbua mpaka anajikuta hajielewi.
Heri mkae kwa upendo muyamalize na huyo mkeo unaemfahamu kulko kwenda kuoa mchepuko utajuta maisha.
Na ndugu zako pia wengine mnamalalamiko yanayofanana au wewe tu?
Kujitafutia kuna raha yake endelea kupambana rizk ipo tu usijiwekee kupenda kusaidiwa saidiwa itakusaidia kutokua mtu wa lawama.
Hakika maamuzi ni yenu wawili.Akaongeza mumeo akikuletea watoto wa nje njoo hapa nna cha kukwambia utamsamehe na mtazeeka pamoja na mtakuja kanisani mmeshikana mikono kama hakuna lilitokea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.