majibu ya tranfer ya mkopo vp Vuka Mphefumulo?? kama unayo muongozo wowote ama chchte kuhusiana na taarifa za kuamishwa mkopo naomba utufaamishe tafadhali[emoji106] [emoji817]
Habar za muda huu wana JF?
Mimi ni miongoni mwa wanafunzi waliofanya transfer katika mwaka wa kwanza, na nashkuru Mungu nlifanikiwa kuona jina langu katika waliofanikiwa kupata mkopo mwaka 2016/2017 ila jina nliliona kwenye chuo nlichokua nimepangwa mwanzo kabla ya transfer, nkaenda kwa loan...
apo utaangalia mwenyew unapenda kwenda wap maana utaposajiliwa ndipo patakua panakuhusu uko kwingine ata wakisema nafasi ipo amna tatzo kikubwa umejiregister wap, afu icho chuo kitume jina lako Tcu kabla ya tar18
kusoma kazi
kufanya pepa kazi
kusubur majibu kazi
kuapply mkopo kazi
kuapply chuo kazi
kusubir majibu ya chuo kazi
kusubir majibu ya mkopo kazi
kila kitu kazi kwa sasa
hii namba kila mtu ataisoma kwa aina yake ucpoisoma kwenye elimu bas kweny ajira utaisoma
kila mmoja kwa wakat wake anasema...
Vp inakuaje kwenye university guidebook ada ya chuo iliyoweka itofautiane na ada inayotozwa mahali husika.
Mfano AMUCTA kwenye guidebook ya TCU kozi ya BAED ada ni laki950
ila kwenye fees structure yao ada ni 1.2million.
Hii imekaaje na hapo 1.2M bado ujaesabia registration fee, examination...
kipo mjini kabsa kimezungukwa na huduma zote muhimu jirani kuna soko la kilombero chini kidogo kuna suprmaket maarufu sana arusha ya nakumat
jiran kuna mahakama, kituo cha polisi
usalama wa kutosha pia chuo kipo jiran na uwanja wa sheik amri abeid na stand ya mabasi yaendayo mikoani
mi naishi...
ili somo mim nilijuvua mapema sana kwanza aliendi wala kueleweka yataka moyo sana
player - pleia
apo ndo lilinichosha kabsa[emoji115] [emoji115] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.