dokta chanjo ya rota hajapata kwa mujibu wa mama mtoto maana mm ni baba mtoto.
choo cha mtoto ni cha chenga chenga cha njano
mtoto hati kula kabisa kwa hiyo pale una mlazimisha anakuwa ataka kujitapisha
chakuja chake hasa ni uji lishe viazi mchanganyiko ndizi na ugali.
meno amesha ota ila...
ndio anahalisha ila ameanza juzi
kuhusu kutapika ni hadi pale unapo
mlazimisha kula anakuwa kama anajitapisha maana hataki kula kabisa.
chanjo ya rota hajapata ila kwa mujibu wa kadi yake chanjo zote kapata
vipele hana
ndio anakohoa
meno yamesha ota tayari
utosi upo juu
tatizo...
Poleni na majukumu.
Mwanangu ana miaezi 8 jinsia ya kike amekuwa akisumbuliwa na joto kupanda hasa kichwani na kwenye tumbo. Nilimpeleka hospitali mara 3 hospitali tofauti tofauti lakini tatizo haliishi. Vipimo walivyokuwa wakichukuwa ::
MRDT
URINE
RBG
FBP
Dokta alisema ana maambukizi kwenye...
Wakuu poleni na majukumu,
Katika pita pita za mitandaoni nimeona baadhi ya nchi zikiwa na uhitaji wa wafanyakazi hivi ni nchi gani huwa wanachukua wanyakazi tz hata wale vibarua wa mashambani.
Je, taratibu zikoje ili niweze kufanya kazi huko?
Msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.