Recent content by Baraka Nyingi

  1. B

    Kwa hili serikali ya Magufuli imekurupuka

    Ndio, serikali ijikite katika uboreshaji wa shule zake tu, wasimshauri vibaya Mh. Rais katika hili. Serikali isianzishi mivutano isiyo ya msingi, na ambayo itamuharibia sofa Mh. Rais.
  2. B

    Kazi ya ualimu kweli ni wito

    Uwe na subira, naamini kutakuwa na mpango mbadala kukabili changamoto husika. Lakini tambua wrote tunatakiwa kufikiri ki-chanya katika jambo LA ubure wa elimu.
Back
Top Bottom