Ndio, serikali ijikite katika uboreshaji wa shule zake tu, wasimshauri vibaya Mh. Rais katika hili. Serikali isianzishi mivutano isiyo ya msingi, na ambayo itamuharibia sofa Mh. Rais.
Uwe na subira, naamini kutakuwa na mpango mbadala kukabili changamoto husika. Lakini tambua wrote tunatakiwa kufikiri ki-chanya katika jambo LA ubure wa elimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.