Hili bandiko lako ukiliangalia vizuri kwa jicho la ziada utaona wazi kuwa wewe ulikuwa na bado una shida ya wivu na chuki dhidi ya huyo jamaa yako na unafurahi kuanguka kwake. Unajisikia Raha na kudhani Hana akili wewe ndo uko smart kwa sababu sasa hivi kaelemewa na majukumu.
Umeandika kwa...
Tunapaswa kusimama kama watanzania. Kifamilia tulishafeli mara baada ya kupata uhuru 61.
98% ya familia za watanzania ni masikini na fukara kupindukia. Mchanganyiko wa damu, kutembea sehemu mbalimbali, kubadili makazi na kujichanganya bila kujali wewe ni msukuma, mnyakyusa, mdigo, mkerewe, muha...
Bado naona kama una cha kumsaidia kwa ushauri, si vibaya vibaya kushauri. Maisha haya Yana mambo mengi sana na ajali zipo tu hata ukiwa makini kiasi gani.
Umenifanya nicheke. Sio mimi muhusika siku ya tatu leo yuko hapa kwangu. Ni mpole balaa, Hana amani.
Mimi binafsi pia nilikuwa na mchepuko wa aina hiyo, Ila toka jana nimeamua kuangalia namna nyingine.
Nadhani sijaeleweka vizuri. Jamaa anahitaji ushauri wa nini afanye juu ya mchepuko wake na au mtoto.
Huyo mchepuko alikuwa ni mke wa mtu na amepigwa chini baada ya mme wake kugundua kazaa na huyu jamaa yangu. Mtoto kweli ni wake na yeye anakiri.
Anajihisi hatia kuvunja ndoa ya mchepuko wake...
Amezaa na mke wa mtu, mmewe kagundua kampiga chini. Jamaa naye ana mke na watoto.
Hakutaka kuzaa naye, ila mwanamke ndo aliyeamua na jamaa amekuja gundua na kuambiwa baada ya mtoto kuzaliwa. Toto kweli ni lake kwa vigezo vyote.
Ni jambo gani sahihi kwake anapaswa kufanya juu ya yule mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.