Elimu bure ifutwe, posho ya madaraka iondolewe hili ndiyo mwarobaini wa kuepukana na changamoto hii. Kuhusu maslahi ya walimu kuboreshwa huu umekuwa ni wimbo wa taifa uendelee kuimbwa!
Ni miezi sasa takriban mitatu. Tangu Septemba hadi Desemba 2023, Serikali haijatuma fedha za ruzuku shuleni bila maelezo yoyote jambo ambalo limezua mjadala katika utekelezaji wa ebm kwa mujibu wa waraka wa elimu kama ulivyotolewa na Serikali.
Jambo hili linapelekea Walimu viongozi kuanza...
Join nowSign in
Silvanus Kidesi
Expand search
FAHAMU KIPIMO CHA FULL BLOOD PICTURE Na Silvanus Kidesi
Silvanus Kidesi
Silvanus Kidesi
Is a Medical Student @kcmucotz,MD…
Published Jun 14, 2022
+ Follow
JE KIPIMO CHA FULL BLOOD PICTURE KINAHUSU NINI?
Ni kipimo cha maabara kinachohitaji sampuli...
Ukiwa ndani ya mitandao ya jamii ni muhimu kutambua kwamba unashiriki mijadala mbalimbali kwa kujenga hoja kwa namna tatu ama mbili yaani kuunga hoja,kupinga hoja na tatu kukaa kimya "yaani hujui,haikuhusu nk". Hoja inapoletwa na wewe kutoa mchango kwa kurusha vijembe hayo ni maisha ya "...
Tangu 01/11/2022 hadi sasa (28/12/2022) takribani miezi miwili serikali imeshindwa kupeleka fedha mashuleni kwa ajili ya ruzuku, na hakuna tamko lolote kutoka katika mamlaka husika.
Kushindwa kupeleka fedha hizo kwa wakati mashuleni kuna sababisha walimu kushindwa kupatiwa vifaa vya maandalizi...
CRDB IMEFIRISIKA THIS IS SERIOUS HAWANA FEDHA ZA KUKOPESHA WATUMISHI ZAIDI YA UJANJA KAMA HUU. MAELEZO MENGI UTEKELEZAJI 0!! HOVYO KABISA. MKIWA NA SHIDA YA KUKOPA NENDENI NMB UHAKIKA KWA 100% NDANI YA SIKU 7 TU!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.