Recent content by Barackachess

  1. Barackachess

    RC Homera wa Mbeya amejiuzia gari la Serikali kinyemela?

    Sasa hebu fikiria, unakutana na habari kubwa, ya moto, imeanza na maneno mazito ‘MWANDISHI WETU’ halafu ukisubiri mwandishi atajwe — kimya! Hapana bwana, hii sio breaking news, hii ni breaking trust. Hii ni kama kupika wali wa nazi halafu hakuna nazi, wala chumvi — unapigwa tu harufu na maneno...
  2. Barackachess

    INAUZWA Panasonic LUMIX GH5 4K Digital Camera TSH 3.7MILLION | DAR ES SALAAM

    PANASONIC LUMIX GH5 – Kamera ya Kitaalamu kwa Picha na Video za 4K INAUZWA 3,700,000/= Ikiwa wewe ni mpiga picha au mtengenezaji wa video unayetafuta ubora wa juu, basi Panasonic Lumix GH5 ni kamera ya ndoto yako. Kamera hii ni ya daraja la kitaalamu, na imeundwa mahsusi kwa ajili ya kazi za...
  3. Barackachess

    Msaada: Nataka kufungua mgahawa kwa ajili ya mabasi ya mkoani njia ya Mbeya - Dar

    N Nimepitia hii 🙏 kupitia changamoto hizi nimeona fulsa ya wapi niboreshe
  4. Barackachess

    Msaada: Nataka kufungua mgahawa kwa ajili ya mabasi ya mkoani njia ya Mbeya - Dar

    Shukran sana mkuu, Hivi eneo kama confort kitonga si lishakufa? Panakodishwa pale au ndo bado mmiliki anakomaa nako?
  5. Barackachess

    Msaada: Nataka kufungua mgahawa kwa ajili ya mabasi ya mkoani njia ya Mbeya - Dar

    Ahsante sana mkuu , 😀😀😀😀😀 TUTAKUMBUKANA , Nitarudi hapa kutoa shukrani nikifungua🙏
  6. Barackachess

    Msaada: Nataka kufungua mgahawa kwa ajili ya mabasi ya mkoani njia ya Mbeya - Dar

    Mkuu ahsante kwa hili. (NIMELICHUKUA KAMA LILIVYO, NAFANYIA KAZI)
  7. Barackachess

    Msaada: Nataka kufungua mgahawa kwa ajili ya mabasi ya mkoani njia ya Mbeya - Dar

    Ahsante sana mkuu kwa muda wako kuniandikia haya maoni, Umeniongezea kitu Shukran sana brother. Kuhusu location natarajia kuweka MTUA (Kituo kimoja baada ya Ilula) panafaa kwa mtazamo wangu
  8. Barackachess

    Msaada: Nataka kufungua mgahawa kwa ajili ya mabasi ya mkoani njia ya Mbeya - Dar

    Habari, Naomba ushauri, Nataka kufungua mgahawa wa kulisha mabasi kwa njia ya Dar - Mbeya, Nimeona kuna changamoto ya vyakula vibaya katika njia hii. Mtaji ninao 120milion, Nina migahawa ya kawaida (restaurant Arusha, Mwanza, Dar Es Salaam inayojulikana kwa jina la ifood hivyo nina uzoefu na...
  9. Barackachess

    Computer4Sale Nauza laptop, HP Spectra

    Naomba namba yako
  10. Barackachess

    Computer4Sale Nauza laptop, HP Spectra

    Njoo na 550,000/= uje uikague uondoke nayo ni pm namba yako ya WhatSAPP
Back
Top Bottom