Recent content by Barackachess

  1. Barackachess

    Msaada: Nataka kufungua mgahawa kwa ajili ya mabasi ya mkoani njia ya Mbeya - Dar

    N Nimepitia hii 🙏 kupitia changamoto hizi nimeona fulsa ya wapi niboreshe
  2. Barackachess

    Msaada: Nataka kufungua mgahawa kwa ajili ya mabasi ya mkoani njia ya Mbeya - Dar

    Shukran sana mkuu, Hivi eneo kama confort kitonga si lishakufa? Panakodishwa pale au ndo bado mmiliki anakomaa nako?
  3. Barackachess

    Msaada: Nataka kufungua mgahawa kwa ajili ya mabasi ya mkoani njia ya Mbeya - Dar

    Ahsante sana mkuu , 😀😀😀😀😀 TUTAKUMBUKANA , Nitarudi hapa kutoa shukrani nikifungua🙏
  4. Barackachess

    Msaada: Nataka kufungua mgahawa kwa ajili ya mabasi ya mkoani njia ya Mbeya - Dar

    Mkuu ahsante kwa hili. (NIMELICHUKUA KAMA LILIVYO, NAFANYIA KAZI)
  5. Barackachess

    Msaada: Nataka kufungua mgahawa kwa ajili ya mabasi ya mkoani njia ya Mbeya - Dar

    Ahsante sana mkuu kwa muda wako kuniandikia haya maoni, Umeniongezea kitu Shukran sana brother. Kuhusu location natarajia kuweka MTUA (Kituo kimoja baada ya Ilula) panafaa kwa mtazamo wangu
  6. Barackachess

    Msaada: Nataka kufungua mgahawa kwa ajili ya mabasi ya mkoani njia ya Mbeya - Dar

    Habari, Naomba ushauri, Nataka kufungua mgahawa wa kulisha mabasi kwa njia ya Dar - Mbeya, Nimeona kuna changamoto ya vyakula vibaya katika njia hii. Mtaji ninao 120milion, Nina migahawa ya kawaida (restaurant Arusha, Mwanza, Dar Es Salaam inayojulikana kwa jina la ifood hivyo nina uzoefu na...
  7. Barackachess

    Computer4Sale Nauza laptop, HP Spectra

    Naomba namba yako
  8. Barackachess

    Computer4Sale Nauza laptop, HP Spectra

    Njoo na 550,000/= uje uikague uondoke nayo ni pm namba yako ya WhatSAPP
  9. Barackachess

    Computer4Sale Nauza laptop, HP Spectra

    IMEUZWA
  10. Barackachess

    Nauza migebuka kutoka Kigoma

    Hello, Hapana Sonnita, Sina huduma hii kwa sasa[emoji1374]
Back
Top Bottom