Ahsante sana mkuu kwa muda wako kuniandikia haya maoni, Umeniongezea kitu Shukran sana brother.
Kuhusu location natarajia kuweka MTUA (Kituo kimoja baada ya Ilula) panafaa kwa mtazamo wangu
Habari,
Naomba ushauri, Nataka kufungua mgahawa wa kulisha mabasi kwa njia ya Dar - Mbeya, Nimeona kuna changamoto ya vyakula vibaya katika njia hii. Mtaji ninao 120milion, Nina migahawa ya kawaida (restaurant Arusha, Mwanza, Dar Es Salaam inayojulikana kwa jina la ifood hivyo nina uzoefu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.