Sehemu nyingi nchini wameweka hii mistari ya “Simama” (Stop lines) kwenye kila vivuko vya watembea kwa miguu. Japokuwa lengo ni zuri, pengine wahusika hawajafikiria vizuri hasara, usumbufu na mkanganyiko unaoletwa na hii mistari. Nitatoa mifano michache tu.
1. Stop Lines peke yake bila kuwepo...
Mkuu Issa hiyo app ya mafundisho.
Ni kozi kama kozi zinginezo. Nafikiri ingekuwa vizuri kutambua kuwa hiyo ni sawa na bure ukizingatia gharama za kutafiti kila alama, kutengeneza app na kuilipia iwe published google store/App Store.
Thanks mkuu kwa mrejesho. App haizidi MB 27 kwa platforms zote. Ni app ndogo na nyepesi kupita kiasi.Kama inawezekana tupia screenshots hapa tu one inasemaje. Itatusaidia kujua tatizo lipo wapi. Umeangalia kama simu yako ina space ya kutosha?
Ps: kumbuka pia full version ni sh 4000tu.
Thanks mkuu. App yetu kwa Android devices ni MB 23 tu kwa IPhones ni MB 27 tu na zipo fast. Kama unaweza nitumie screenshoot yake tuangalie hitafu ipo wapi maana mb385 ni hatari kupita kiasi kwa Mobile app!!
Hebu cheki vizuri. Pia unaweza kutuma message kwa Facebook.com/alamazabarabarani
“S” maana yake ni “Stop” na huwekwa hasa kwenye barabara za basi (bus lane). Huwa ni “ishara” (light signal) lakini pia kuna vibao vya “no stopping” vyenyee S iliyokatizwa na mstari.
Pakua hiyo application upate maelezo ya Alama, Ishara na Michoro ya barabarani.
Alama za Barabarani Quiz Application ni Application ya simu inayokuwezesha kujifunza kuhusu ALAMA na kanuni za USALAMA BARABARA NI.
Trial/free version Ipo Play Store na App Store:
Alama Barabarani Quiz Lite on the App Store
PlayStore: Alama Barabarani Quiz Lite – Програми Android у Google...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.