Kutokana na hili sakata la Baltazar kuna mambo Mengi ya kujifunza hapa, nitaelezea kwa summary tu;
Most of the women ambao walicheat na Jamaa , wapo kwenye mahusiano na matajiri wa kubwa na pia powerful men.
Kwa waliodhan kwamba Hawa wanawake walicheat kwasababu ya pesa au umaarufu au chochote...
Dah pole sana mkuu, niliwahi kujaribu mkongo siku moja ni balaa...
Kwa kifupi mkongo unatesa maana kumwaga humwagi, pia huenjoy tendo, maana mkongo unachofanya unauwa ganzi kwenye kichwa cha dushe, niliishia kumchosha Dada wa watu mwenyewe kujichosha wala hata sikupi*i ... Tangu siku hiyo...
Kuna jamaa yangu mmoja alivyoona figisu zimezidi akamwambia mama yake tafadhali maana naomba uniache na Mimi nifurahie maisha ya ndoa Kama wewe ulivyofaidi na baba yangu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.