Recent content by bangusule

  1. B

    Roho mbaya na ubahili Wapare walivitolea wapi?

    Sio Wapare, bali Vam-phare, au Va-athu / Va-asu. Katika jamii za Kichagga kwa mfano Wamarangu, Wakibosho, Je kuna maneno kama hayo? Wapare au Waasu ni mchanganyiko wa makabila mengi ikiwemo Wakamba, Wataita, Wasambaa, Wazigua, Wachaga, na wengine. Habari kwamba waliwahi kufukuzwa mahali fulani...
  2. B

    Roho mbaya na ubahili Wapare walivitolea wapi?

    Marehemu Cleopa Msuya ni icon wa wilaya ya Mwanga, sio wa Upare nzima. Upare upande wa Same ni eneo kubwa na ndio lenye idadi kubwa ya jamii ya Wapare. Na Same imekuwa na viongozi wengi ukilinganisha na Mwanga.
  3. B

    Mgogoro wa KKKT Dayosisi ya Pare ulichochewa na wanasiasa wakongwe

    Wakatoliki inawezekana ndio madhehebu ya mwisho ya Kikristo kuingia Upareni. Kama sijakosea wa kwanza kujipenyeza walikuwa Wasabato, wakafuatiwa na Walutheri, na Waanglikani. Lakini wote hao walitanguliwa na Waislamu. Hata ukiangalia majina ya Wasabato wa kwanza kubatizwa baadhi walikuwa na...
  4. B

    Mgogoro wa KKKT Dayosisi ya Pare ulichochewa na wanasiasa wakongwe

    Wasabato wengi wako wilaya ya Same. Huko ndiko chimbuko la Wasabato mpaka wakaandika na Agano Jipya kwa lugha ya Kipare / Chasu. Wilaya ya Mwanga ina Walutheri wengi kuliko madhehebu mengine ya Kikristo. Waislamu pia ni wengi sana katika wilaya za Same na Mwanga.
  5. B

    Wilaya ya Mwanga kesho tunaenda kusimamisha dunia kumwaga Mzee wetu Msuya

    Na Wapare wanapenda uwachukulie kwa dharau ili uzubae wakunyoroshe. Wapare na Wasomali ndio wasiowahofia Wachagga tangu zamani. Siku hizi wameongezeka Wakinga hawaogopi Mchagga.🤣
  6. B

    Mgogoro wa KKKT Dayosisi ya Pare ulichochewa na wanasiasa wakongwe

    Uwezekano mkubwa ni uchache wa Waumini ktk eneo husika. Kanisa Katoliki halina nguvu Upareni kama ilivyo kwa maeneo mengine ya Tanzania.
  7. B

    PreGE2025 Dkt Nchimbi: Rais Samia Hajigambi ana tabia kama ya Marehemu David Msuya

    Mzee Msuya aliteleza wakati wa mjadala mkali bungeni. Tumsamehe kwani hakuna asiyekosea. Hoja ya Msuya ilikuwa kwamba kodi aliyokuwa akipendekeza ilikuwa pungufu na bei ya mkungu mmoja wa ndizi sokoni. Kipindi hicho nchi ilikuwa katika ukata mkubwa na serikali ilikuwa inasisitiza wananchi...
  8. B

    Wilaya ya Mwanga kesho tunaenda kusimamisha dunia kumwaga Mzee wetu Msuya

    Mzee Msuya aliteleza kutoa kauli hiyo. Na kuteleza huko ni kudhihirisha kuwa hakuwa malaika, bali ni binadamu kama wengine. Katika mambo ambayo tunapaswa kumsamehe ni hilo tukio la kuteleza katika kauli yake. Sasa ukiacha hayo C.D Msuya atabaki kuwa ndiye " baba " wa mageuzi ya uchumi hapa...
  9. B

    PreGE2025 Mwisho wake ni nini. Maana CCM na vyama vingine vinasema tuanaendelea na uchaguzi CHADEMA pekee inasema no reform no election

    Solution rahisi kuliko zote ni kufanya reforms ili vyama vyote vishiriki. Chadema wasiposhiriki uchaguzi utadoda, na Rais atakayechaguliwa atakosa uhalali.
  10. B

    PreGE2025 Heche: Nimepata taarifa kuwa kuna mpango wa kunikamata wakati wowote kuanzia sasa

    Kushiriki au kutokushiriki uchaguzi ni HAKI ya kila Mtanzania. Kama inaruhusiwa kuhamasisha kushiriki, basi ni halali vilevile kuhamasisha kutokushiriki. Kama Ccm inapinga Reforms na haichukuliwi hatua, kwanini Chadema wasumbuliwe kwa kusisitiza Reforms?
  11. B

    Mgogoro wa KKKT Dayosisi ya Pare ulichochewa na wanasiasa wakongwe

    Wilaya ya Mwanga ilimegwa kutoka wilaya ya Same ili kuwatenganisha Chediel Mgonja na Cleopa Msuya waliokuwa wakihasimiana kisiasa. Vita hiyo iliendelea mpaka katika Dayosisi ya KKKT Same na kupelekea kugawanywa.
  12. B

    PreGE2025 Dkt Nchimbi: Rais Samia Hajigambi ana tabia kama ya Marehemu David Msuya

    Na haya mabango ktk kila mtaa yenye picha ya Raisi sio dalili za kujikweza na kujigamba?
  13. B

    Wilaya ya Mwanga kesho tunaenda kusimamisha dunia kumwaga Mzee wetu Msuya

    Masikini hawakosekani katika jamii yoyote. Kwa msingi huo wananchi mbalimbali wa Same au Mwanga kuwa na nyumba za kiwango cha chini sio ajabu. Pamoja na hayo ni ukweli usiopingika kwamba Wapare ni wachapakazi na ndio maana wamesambaa nchi nzima kutafuta maisha na fursa. Mpare anayeogopa...
  14. B

    Wilaya ya Mwanga kesho tunaenda kusimamisha dunia kumwaga Mzee wetu Msuya

    Wapare sio wavivu ndio maana wanazungumziwa utadhani ni kabila kubwa hapa Tanzania.
  15. B

    Wilaya ya Mwanga kesho tunaenda kusimamisha dunia kumwaga Mzee wetu Msuya

    Mwanga na Same ni wilaya ngumu sana kuishi. Ni jamii inayojituma tu ndio inaweza kuhimili mazingira ya kule. Mwalimu Nyerere aliwaita Wapare " Wachina wa Tanzania " kutokana na uchapakazi wao.
Back
Top Bottom