Recent content by bangera

  1. B

    Dr. Dau aingilia mchakato wa ugawaji viwanja Mafia

    Dr. Dau ni mdini sana kataa au ukubari but ukweli uko palepale
  2. B

    Trilion 6 gawa kwa Watanzania milion 60 unapata Tshs 100,000

    Hesabu mtoa mada karekebishe
  3. B

    Pres. Magufuli: Don't Put Your Sub-ordinates on Short-Leashes (ala Kilango)

    Tanzania imepata rais wa K weli awamu hiii mwenye nia yakuipaisha kiuchumi n.a. kuiheshimisha dhidi ya mabepari, kaza konde magufuri uko sawa
  4. B

    Mawaziri Watakaolalamikia OC Ndogo!, Waache Kazi!. Ni Kauli ya Kujenga Nidhamu au Udikiteta Tuu?!.

    Bila magu kuwa hivi afanyavyo hatutafika kamwe, My president nakuunga mkono asilimia zote , endelea kukaza kabisa Ila kwakuzingatia khaki n.a. bilakumuonea mtu kwani hayo ndio mafanikio ya nchi hii
  5. B

    Sukari sasa ni shilingi 2,400 kwa kilo huku Dodoma

    Huku shinyanga ni 2000 tu
  6. B

    Ufisadi kupitia zabuni za NSSF: Dr. Dau na genge lake wawajibishwe!

    Magu muwajibishe uyoo kwanza alikuwa mbaguzi wa dini kumbe fisadi mkubwa
  7. B

    Wananchi wamshauri Magufuli kuongoza vipindi vinne mfululizo

    Nafikili ni wazo jema kama anawawajibisha mafisadi , anatoa elimu bure mpaka kidato cha nne,anafufua viwanda, anahubiri utawala wa sheria n.a. khaki , anataka watanzania wote wafanye kazi sioni vibaya akiendelea Hat a miaka 30 ivi
  8. B

    Safari za Rais John Magufuli nje ya nchi tangu aingie madarakani 2015

    Magu jifunze kwa kagame alivyouza mashangingi kwa garama kubwa nakuwakopesha magari ya beinafuu viongozi wote waserikali ilikupunguza matumizi mabaya ya fedha
  9. B

    Rais Magufuli awawakia wabunge wa CCM, ni katika mkakati wa kujinasua tuhuma za RUSHWA

    Magu funga yeyote atakaekutwa n.a. hatia awembunge ,wazirimstaafu au aliepomadarakani, katibuyeyote au mkuu wa idara yeyote ilimradi tu sheria ifuatwe kwa kufanya I vyo nchi itanufaika n.a. wananchi wake kutokana n.a. maliasili zake
  10. B

    Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote

    Milion40 bado ni nyingi ndani ya taifa kama tz ambamo wanafunzi wanakaa chini wamama wajawazito wanakufa wanapojifungua kwakukosa Dawa raia wa kawaida anakula mlo mmoja , magu nakusapoti piga chini iyo mishahara , mungu akulinde eèeee rais wangu M pendwa magu
  11. B

    Harry Kitilya, Sioi Sumari na Shose Sinare wafikishwa mahakamani

    Yeah it's true, but be pattient just is abegining
Back
Top Bottom