Recent content by bamoh

  1. bamoh

    Msisimko wa mwili baada ya kuona vitundu vidogo vidogo

    Jaman m nkiona vimbegu labda za tikiti maj ukilikata tu vnavyokua vmesmama au vya nyanya uiiii najiskia kuwashwa au vitu vdogo vdogo vlivyojikusanya pamoja vkatokeza juu .!!n hatar.
  2. bamoh

    Nahitaji Bajaj ya bei chee

    Ninayo bajaj no; T279 CRW bei milioni nne inapaki tegeta nyuki, namba yangu 0712 446801.
  3. bamoh

    Bajaji aina ya TVs inauzwa

    Ndio niiuze kwako au! Maana kwa uelewa wangu wewe si mnunuzi maana mnunuzi kunavitu vya msingi angeuliza na wala si ubadilishaji wa namba.
  4. bamoh

    Hii channel ya CTN ni nzuri sana

    Kwa movie wanajitaidi Ila mda mwingine zinakua na weusi wa ajabu namaanisha giza.
  5. bamoh

    Andika haya maneno kwa Kiswahili

    Sio ndege kifaa, ni ndege kiumbe.
  6. bamoh

    Nahitaji ushauri juu ya tatizo la meno

    Haja ndogo inasaidia m nmeshatumia nmeshang'oa meno 9 baada ya kutumia dawa hyo sisikii tena jino lolote likiuma .
Back
Top Bottom