Recent content by bamku

  1. B

    Nauza Projector

    uko wapi mkuu?
  2. B

    Rais Magufuli ashangaa Majaji kwenda likizo Ulaya kwa gharama zao, amtaka Jaji Mkuu kuchunguza

    Vile vile kuna mkuu mmoja wa mkoa husafiri sana nje ya nchi sijuwi anatumia gharama za nani?
  3. B

    Zitto: Nilipokuwa Mwenyekiti wa POAC, tulimhoji Tido Mhando na kuthibitisha hakuwa na kosa

    hivi wale waliochukua pesa stanbic kwenye viroba wameshakamatwa?
  4. B

    Ufafanuzi kesi ya Musiba dhidi ya Lissu

    Hivi mwandishi wa habari wa Mwananchi ameshapatikana?
  5. B

    BoT Kagueni Biashara ya Forex Chini ya TMT pale Jangid Plaza

    yaelekea mtoa mada anataka apige peke yake pesa ya forex anaona wivu watu wengi kuwa na elimu hiyo. kwa taarifa yako anafanya shughuli yake kihalali na vibali vyote anavyo.
  6. B

    Waislamu tuko upande wa Rais! Ya Kakobe mpelekeeni Kaisari

    Natamani nikuambie neno lakini nafsi inakataa ila naomba Mwenyezi mungu asiache machozi ya masheikh walio gerezani yakienda bure kwa yeyote mhusika.
  7. B

    Askofu Zakaria Kakobe: Tanzania siyo nchi ya chama kimoja! Amtaka Rais Magufuli atubu

    uzi mzuri ila haujazungumzia Askofu pengo na sheikh mkuu wa DSM. wao vp?
  8. B

    Moses Machali: Askofu Kakobe siyo mchungaji wa kiroho

    Kama sikosea askofu Kakobe alimuonya Kikwete kuhusu kilichokuwa kinaendelea ndani ya CCM na asipokuwa makini chma kingepata wakati mgumu kwenye uchaguzi 2015. kilichotokea kikwete na wana CCM hawatakisahau. Nashauri maono yake yaangaliwe kwa makini na si ushabiki.
  9. B

    Maoni ya Viongozi wa Upinzani baada ya TAKUKURU kutupilia mbali tuhuma za rushwa za RC Mnyeti! Yapo ya Lema na Nassari

    Nashauri huo ushahidi auhifadhi tu ipo siku utafanya kazi hata ikiwa awamu ijayo. mara ngapi tumesikia viongozi wengi wakishitakiwa kwa kosa la rushwa waliokula miaka kahaa iliyopita?.
  10. B

    TAKUKURU yautupilia mbali ushahidi ulioletwa na Nassari na Lema wa madiwani kuhongwa

    TAKUKURU inataka wananchi wamchukie rais, nashauri Mh. rais awawajibishe wakuu wa hii taasisi
  11. B

    TAKUKURU yautupilia mbali ushahidi ulioletwa na Nassari na Lema wa madiwani kuhongwa

    Hapa ndipo ninapopata shida na baadhi ya taasisi. Mimi nilidhani kinachotakiwa ni ukweli wa tuhuma na si vinginevyo. itakuja siku utakataliwa ushahidi wa ukweli kisa tu katoa mtoto.
Back
Top Bottom