Haya tusubiri mtabiri, lakini kulinganisha CDM yenye watu makini zaidi ya Ishirini na vyama vilivyopita vya CUF na NCCR sikubaliani nacho kwani vyama hivyo vilintegemea ntu mmoja Lipumba na Mrema...... Wakati CDM kuna majembe mengi Dr slaa, mbowe, Lissu, Mnyika, Lema, Marando, Prof Safari, Dr...