Recent content by Baltazar mlagala

  1. Baltazar mlagala

    Katizo la umeme mkoa wa Pwani

    Tunashukuru sana kwa taarifa mkuu Asante sana
  2. Baltazar mlagala

    TANESCO tuhurumieni wana Tanga

    Tatizo watanzania hatusomi vipeperush wala hatuangalia taarifa ya Habar tulio wengi Mbona taarifa Zilitolewa .
  3. Baltazar mlagala

    Tanzania ya Magufuli na viwanda, ''Nchi ya kufikirika''

    Niko mwenge Umeme upo na kama ukitokea wamekata so makusud kuna matengenezo huwa wanafanya
  4. Baltazar mlagala

    TANESCO yaagizwa kuimarisha kikosi chake cha ukaguzi

    Ndugu zangu hii ni habar nzuri kwetu kwan kama kuna sehemu wanaacha Umeme unatumika hovyo ambavyo Ungeweza kutumika sehemu nyingine so kwa kuudwa kikosi hicho mi Nawapongeza..
  5. Baltazar mlagala

    TANESCO: Taarifa ya kukosekana kwa Umeme kwa baadhi ya mikoa inayoungwa na Gridi ya Taifa

    Wakuu m nazan ni Jambo jema kwa Tanesco wamefanya kutoa taarifa iliyopo mbele m sizan kama tunatakiwa kulalamika hvyo ila huu ni utendaj mzur wa kaz Ambao tanesco wanauonesha.
  6. Baltazar mlagala

    Serikali isitishe dhuluma hii inayofanywa na TANESCO na mitandao ya simu

    Inatakiwa uone ata hali ya umeme ilivyo tulia sasa
  7. Baltazar mlagala

    Serikali isitishe dhuluma hii inayofanywa na TANESCO na mitandao ya simu

    Hii sio dhuluma ww ndio mbulula wa sheria za nchi usiwafanye watanzania hawajasoma Hakuna huduma inayo toleea bure hata siku moja
  8. Baltazar mlagala

    Nimeamini TANESCO inatumika kisiasa

    Duu Sikubalian na ww Kisiasa vp kwan Tanesco huwa wanakata Umeme nyumba za wanachama Ambao so wa Ccm na ambazo ni za ccm hawakat achen kupotosha umma Siasa na Mambo ya kitaalam ni tofaut...
  9. Baltazar mlagala

    Simbachawene: Mitambo ya kuchakata umeme wa gesi sio ya serikali ni mali ya mtu binafsi

    Alicho sema Simbachawene ni Ukweli mtupu Tanesco hawamilik bomba la gesi.
  10. Baltazar mlagala

    TANESCO yalazimika kuzima mitambo ya kuzalisha Umeme Bwawa la Mtera

    M nashukuru kwa taarifa na pia nawapongeza tanesco kwa kutupa kila taarifa inayo jili heshima kwao.
  11. Baltazar mlagala

    TANESCO: Uzalishaji wa umeme umeshuka kwa asilimia 81

    Asa ndo uwashawishi watu kumpigia mtu fkan kisa Umeme?
  12. Baltazar mlagala

    Umeme na maji imekuwa kero

    Kusema mahali nilipo Kuwa Upo nimekuwa kimbelembele kwan we culiuliza kwaiyo ulitegemea kuwa kote haupo?
Back
Top Bottom