Kwanni mtoto abaki katika hiyo ndoa na kwanini mtoto hawezi kumpuuza mama ? Na jua unamuhurumia huyo binti lakin kuna jambo nyuma ya pazia huo uzi sio mdogo bado hujaukunjua
Bro nimegundua ww hutaki dawa unataka huyo demu akwambie leo umeniridhisha usisumbue watu akili miaaka 12 bado unasema unatafuta dawa ya kumridhisha kuna kitambaa cheupe mbele kama sio sut
Sote tunajua kati ya kimoja na ♾️ kikawaida tunatofautiana uwelewa tu na hilo halipingiki kimoja hicho hicho cha masaa mawili ulicho kitumia kwa x na hicho hicho ukakotumia na y , kuna moja anaweza kuridhika na mwengi e asiridhiki zaid ya kuugulia maumivu,
Nazani inategemea na mood ya x or y...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.