Kupanda ndege hakuna raha yoyote ni kati ya usafiri unaochosha zaidi hasa ukiwa utazidi kukaa angani zaidi ya masaa 5 kutokana na kutopatikana hewa ya kutosha. ..labda wanafurahia maisha mengine wanapofika nchi za kigeni
Ndumakuwili wamegomea kusikiliza hotuba bunge wamejifungia vyumbani kuangalia kupitia Tv trh 20 januari watakuja tena kuichangia hotuba waliokimbia ........hatudanganyiki wachumia tumbo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.