Recent content by baharia 1

  1. baharia 1

    JamiiForums Tanzania Siku Ukijua Kinachokutokea Usiku, Akili Yako Itaruka!

    Unauliza kwanini Mungu asizuie wachawi? Hivi Mungu anazuia mwizi asikuvunjie nyumba ukimwachia mlango wazi
  2. baharia 1

    JamiiForums Tanzania Siku Ukijua Kinachokutokea Usiku, Akili Yako Itaruka!

    Mungu hazuii uovu kwa sababu anampa kila binadamu uhuru wa kuchagua (Free Will). Hakukufumba macho kwa ubaya, amekuwekea hilo pazia kama huruma ili usife kwa presha ukishuhudia uozo unaofanyika gizani. Kama unajiona mjanja sana ukajiunge nao ukajue kwanini anawaacha!
  3. baharia 1

    JamiiForums Tanzania Siku Ukijua Kinachokutokea Usiku, Akili Yako Itaruka!

    Pole sana kama unafikiri maombi yanazuia uchafu unaolishwa ukilala fofofo
  4. baharia 1

    JamiiForums Tanzania Siku Ukijua Kinachokutokea Usiku, Akili Yako Itaruka!

    NI kweli
  5. baharia 1

    JamiiForums Tanzania Siku Ukijua Kinachokutokea Usiku, Akili Yako Itaruka!

    Acha Kiherehere cha Kutaka Kuona Yasiyoonekana Utazika Furaha Yako Milele! Watu wengi mpo hai na mna amani kwasababu tu Mungu amewaziba macho msione uchafu na uozo unaowazunguka. Mnaishi kwenye uongo wa kutengenezwa na ndio maana mnakula, mnalala na kucheka. Lakini kuna wajinga fulani wana...
  6. baharia 1

    JamiiForums Tanzania Acheni Kujidanganya wanaume

    [emoji23][emoji3]
  7. baharia 1

    JamiiForums Tanzania Hivi hii error ya NMB MshikoFasta inatokanaje na inatatuliwaje?

    MshikoFasta inaleta Error karibu mwaka, Sio kwamba nina shida nayo, ila kwanini igome? [emoji3] Wakuu, Issue sio kwamba nina shida ya hela saa hizi, hapana! Ni ile kero tu ya kuona mfumo unakuonyesha limit ya TZS 1,185,232 lakini kila ukijaribu inagoma. Heshima ya akaunti inachezewa hapa...
  8. baharia 1

    JamiiForums Tanzania Hivi hii error ya NMB MshikoFasta inatokanaje na inatatuliwaje?

    Kwahiyo nifanyaje
  9. baharia 1

    JamiiForums Tanzania Hivi hii error ya NMB MshikoFasta inatokanaje na inatatuliwaje?

    Sasa nifanyaje?
  10. baharia 1

    JamiiForums Tanzania Hivi hii error ya NMB MshikoFasta inatokanaje na inatatuliwaje?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aaah me hata siutaki [emoji23]
  11. baharia 1

    JamiiForums Tanzania Hivi hii error ya NMB MshikoFasta inatokanaje na inatatuliwaje?

    Sawa nikipata mda mwezi huu naweza kwenda waweke account sawa
  12. baharia 1

    JamiiForums Tanzania Hivi hii error ya NMB MshikoFasta inatokanaje na inatatuliwaje?

    Sawa mkuu kwahiyo nikienda ofisini kwisha kazi?
Back
Top Bottom