Recent content by baharia 1

  1. baharia 1

    Natafuta House Manager

    Naona kijiwe kimepamba moto Mr Pixel3a anadai natafuta mke, na multiple anasema mbinu ni zile zile za mabaharia. Sasa jamani, soga zenu hazisafishi nyumba wala hazipiki chapati Kama unajua binti mweupe, hana mtoto, na yuko tayari kwa kazi nitumie picha yake DM sasa hivi.
  2. baharia 1

    Natafuta House Manager

    Hapana mkuu
  3. baharia 1

    Natafuta House Manager

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  4. baharia 1

    Natafuta House Manager

    [emoji23]
  5. baharia 1

    Natafuta House Manager

    Sawa mkuu
  6. baharia 1

    Natafuta House Manager

    Picha Kwanza
  7. baharia 1

    Natafuta House Manager

    Mkuu bahari imechafuka sasa hivi, lazima uwe na dira yenye sifa maalum la sivyo utazama Huyu mfanyakazi ndiye life jacket langu [emoji23]
  8. baharia 1

    Natafuta House Manager

    Bado mkuu
  9. baharia 1

    Natafuta House Manager

    Mkuu mambo ya all-in-one ndio mpango wa mjini sasa hivi. Huoni hata simu unayotumia ina redio, tochi, na kamera kwa mpigo? Na mimi hapa natafuta Full Package mfanyakazi anayeng'aa kama balbu [emoji23]
  10. baharia 1

    Natafuta House Manager

    Hapana sina mke
  11. baharia 1

    Natafuta House Manager

    Yukuwapi picha dm
  12. baharia 1

    Natafuta House Manager

    [emoji23][emoji23]
  13. baharia 1

    Natafuta House Manager

    Natafuta mfanyakazi wa ndani Habari za muda huu ndugu zangu, jamaa na marafiki. Kutokana na mazingira ya kazi kuwa mengi, nimeamua kutafuta msaidizi wa kazi za ndani (House Manager) ambaye atasaidiana nami majukumu ya hapa nyumbani. Lakini sifa za mfanyakazi huyu nimeziweka kidogo ki-special...
  14. baharia 1

    Nini chanzo cha jogoo kutaga yai ?

    jogoo hawezi kutaga yai kwa sababu hana mfumo wa uzazi wa kike (ovary na oviduct). Hata hivyo, kuna matukio ambayo huwafanya watu waamini kuwa jogoo ametaga. Hapa kuna sababu zinazoeleza kile unachokiona Wakati mwingine kuku jike (mtetea) hutaga yai dogo sana ambalo halina kiini (yolk). Mayai...
  15. baharia 1

    DELL CORE i5 (RAM 8GB)

    LAPTOP INAUZWA: DELL LATITUDE E5450 Sifa: Processor: Core i5 (5th Gen) RAM: 8GB | Storage: 500GB HDD Battery: 81% (Inakaa na chaji vizuri) Hali: Imetumika wiki 3 tu, iko safi sana (Clean). Vingine: Keyboard inawaka taa, Kila kitu kiko OK. [emoji383] Bei: 400,000 TZS [emoji625] Eneo: Moro
Back
Top Bottom