Mungu hazuii uovu kwa sababu anampa kila binadamu uhuru wa kuchagua (Free Will). Hakukufumba macho kwa ubaya, amekuwekea hilo pazia kama huruma ili usife kwa presha ukishuhudia uozo unaofanyika gizani. Kama unajiona mjanja sana ukajiunge nao ukajue kwanini anawaacha!
Acha Kiherehere cha Kutaka Kuona Yasiyoonekana
Utazika Furaha Yako Milele!
Watu wengi mpo hai na mna amani kwasababu tu Mungu amewaziba macho msione uchafu na uozo unaowazunguka.
Mnaishi kwenye uongo wa kutengenezwa na ndio maana mnakula, mnalala na kucheka. Lakini kuna wajinga fulani wana...
MshikoFasta inaleta Error karibu mwaka, Sio kwamba nina shida nayo, ila kwanini igome? [emoji3]
Wakuu,
Issue sio kwamba nina shida ya hela saa hizi, hapana! Ni ile kero tu ya kuona mfumo unakuonyesha limit ya TZS 1,185,232 lakini kila ukijaribu inagoma.
Heshima ya akaunti inachezewa hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.