Recent content by baego

  1. B

    Nape Nnauye apata ajali Kilwa, alikuwa akitokea Dar kuelekea Lindi

    Hii taarifa inawalakini...ajali imetokea njia nne kilwa....tena inasema gari lilipinduka mara kadhaa eneo la nyangao lindi...hayo ni maeneo mawili tofauti kabisa kwa wale tunaoifahamu kusini
  2. B

    Operesheni Zinduka: Makosa 2 ya Dr. Slaa na 1 la Freeman Mbowe

    Hayo makosa mawili ya dr slaa uliyagundua baada au kabla ya lowasa kuja..?kama uliyagundua kabla..tuambie ulichukua hatua gani na matokeo ya hatua ulizochukua..?kama umeyagundua baada ya lowasa kuja tuambie uhalali wa kusema madhara itakayopata chadema baada ya lowasa kushindwa unaupata...
  3. B

    Lowassa kuongoza kampeni ya 'Toroka Uje'

    Mkuu tumeshanawa mikono...tunasubili chakula kije...
  4. B

    CHADEMA waibuka na style tofauti

    Hizo picha ni siku lowasa ametoka kuchukua fomu na maandamano yakafikia biafra..
Back
Top Bottom