asante mkuu
labda niulize kingine..mfano amechagua hiyo computer...je anawezaje kuongeza hizo skills/fani nyingine....anakuwa anajifundisha au ni mitaala ipo imeongezwa moja kwa moja? mfano programming,coding,AI na mengineyo..kuhusu lugha nahisi hiyo atasoma pembeni private...
kutokana na...
yeye kiufupi anapenda mambo ya computer tu...ila tunaona yamegawanywa...ipi bora zaidi? je kuna soko???? vip civil engeneering? japokuwa hii nimeiulizia mimi tu..ila yeye ni computer...na je diploma ana mkopo?
mkuu wewe kwa computer angelikuwa dogo lako au mwanao kwa uzoefu wako na kulingana na soko...asomee course ipi ya computer na mkopo anapata?? pls jibu hayo
sawa mkuu...
unajua haya mambo hatuyajui..wanasema computer imegawanyika vipengele...ila dogo yeye anapenda mambo ya computer...kipengele kipi kina soko zaidi?
na enzi zetu tulkkuwa tunajaza choices zaidi ya moja..sijajua sasahiv wanachagua vip.....nimshauri ajaze vip?
Nina mdogo wangu wa kiume kapata dvn 1.7 sasa hatujajua achague chuo gani. Yeye hataki kwenda advance..
Anapenda mambo ya computer ila sasa hatujui computer imegawanyika vipi na ipi ni nzuri zaidi.
Pia je mwanafunzi anayetokea o level anaweza pata mkopo?
ipi course nzuri ya computer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.