Recent content by babychaga

  1. B

    CHADEMA Ikishinda Pingamizi Wabunge Viti Maalum CCM Watapungua?

    viti maalum vinatokana na percentage za kura za urais wala sio za ubunge. mbona mnajidaigi sana as if ni wasomi kumbe hata jambo dogo hivi hamjui?
  2. B

    Tuwe makini

    2013 ksh 70 ilikuwa sawa na usdola moja leo hii 105ksh ni sawa na dola moja. Mhe. hapa kazi tu hebu papitie ili tsh yetu angalau iweze kufanya vizuri ili tuipiku ksh
  3. B

    Hotuba ya Rais Magufuli akifungua rasmi bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Novemba 20, 2015

    Si kawaida kwa nchi nyingi za sub sahara kuconduct election from the initial stage ya kampeni na siku ya uchaguzi na post election na bado watu wakawa na amani kama tz. its real this is only tanzanians can aford. God bless tz and the elected ones.
  4. B

    Kamati Kuu CCM yatoa uamuzi kuhusu wanachama sita waliokuwa wamefungiwa

    Chaguo la mungu ni yesu peke yake
  5. B

    SMS ya siri kwa Rais Kikwete yavuja, mtumaji asimamishwa kazi

    Nchi nzima haina siri Yeuwiiiiiiiiiiiiiii Yeuwiiiiiiiiiiiiiii
  6. B

    Lowassa kukaangwa kama Yesu!

    Wewe huwezi kumlinganisha yesu na lowasa
  7. B

    Burundi inaendekezwa na Tanzania

    Nampenda xana rafiki yangu nkurunzinza
  8. B

    Sakata la burundi wapi KUB?

    Nimechoka hizi siasa
Back
Top Bottom