Recent content by Babuu_shoo

  1. B

    VIDEO: Islamil Jussa, Abubakar Bakar wamjibu Prof. Kabudi kuhusu mamlaka za kisheria kwa JMT na Zanzibar

    Muungano uko very stratergic kiasi zanzibar walibaki na uhuru wa bendera na mamlaka hypothetical while Tanganyika walipoteza kila kitu ili tu kukaa juu ya zanzibar,awan bendera,wimbo,bunge wala serikali
  2. B

    Mange Kimambi kuangusha uongozi wa BAKWATA?

    iv asset audit ya mali za waislam ilishauriwa na raisi? ni kweli kati ya chuo na msikiti walichagua msikiti au ni umbea tu wa mtaani kaka naomba kuuliza
  3. B

    Kwa mfumo wa kampuni ya New Force lazima wafanyabiashara wetu wafilisike

    Swala sio kuwaiga wala tufanane nao,kilicho sawa kwao sio lazima kiwe sawa kwetu.
  4. B

    Kwa mfumo wa kampuni ya New Force lazima wafanyabiashara wetu wafilisike

    Unakuta wanauza mpaka mikoba kariakoo,serikali inajali kodi tu lakin welfare ya mzawa awajali kabisa yote io ni selfishness ya viongozi au uelewa mdogo wa maswala
  5. B

    Trend Reading: Salum Mwalimu, Mb. Mtarajiwa, Kinondoni!. Hata Wana CCM Wasioendekeza Ujinga, Watamchagua!.

    Unge declare interest kwamba we ni Ccm na umeshindwa kukubali kua utatakiwa uchague Cdm kwa ujinga mliofanyian uko ndani ya chama
  6. B

    IMF yaonya tena kusinyaa kwa uchumi wa Tanzania: Sekta binafsi zinakufa, mapato na pato linashuka kwa kasi

    Mpango ni mkusanya kodi tu that what he is best at,na kwakua pres ni mtu rahis kum manipulate kwa figures basi mpango atakaa mda mrefu ni kwamba they are fucking up the economy for their own sake cha ajabu mamtu ya kujiita CCM yana dhan ni for their own good and prosperity of the party,wakae...
  7. B

    Uganda: Hongera Mzee Museveni kwa kumsaidia Rais Magufuli kuelewa na kujibu maswali ya Waandishi

    swala sio kujua kingereza apa swala ni elim aliyonayo na kwa nchi etu medium of instruction ni kingereza inakuaje mtu mwenye elim ya doctorate awez kumudu grammatical english achilia mbali accent tu(sio shida san)..sasa aliandika vip thesis,presentations n.k kwa wanaosom elim izo wanajua penalty...
  8. B

    Hivi Mange Kimambi ana elimu gani?

    The fact kwamb unajarbu kuonyesh hakusom UDSM yani unam degrade ni wazi kwamba unaathirika na hoja zake/umbea kam mnavyouita alafu kwanini mange? wakat nae ni instagram user kama walivo watu wengine kama sio amekuuguza ATELOPHOBIA wakat unajarbu ku weigh nae
  9. B

    Sirro: Jeshi linatambua Makosa ya kimtandao yanayofanywa na Mange Kimambi na linashughulikia

    Na hapo kutakua hkn la kumshitak nalo maan ametendeka makosa ayo akiwa nje ya mipaka ya TZ
  10. B

    Wabunge Lema na Nassari watoa ushahidi wa DC na Mkurugenzi Arumeru walivyowarubuni Madiwani 10 wa CHADEMA waliohamia CCM

    We umeconcetrate kwenye details za technolojia iliotumika lkn hugusiii content km ni relevant ama lah alafu unasem unfanywa mjinga wakt ujinga umeubeba mwenywe
Back
Top Bottom