Hapo ni pasua kichwa ila nashauri tufanye mambo ambayo tunayaweza kwa kushirikiana na wataalam hata kama ni madogo. Sio lazima uwe na heka au duka kubwa, unaweza ukaanza kulima kiploti cha kutosha miche 50 ya nyanya au kuuza sado moja ya karanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.