Hapo ndipo unakosea, mipango ya kuliimarisha jeshi yote ipo katika ilani ya miaka mitano ya ccm, Miradi yote mikubwa ya kimaendeleo ya vyombo vya ulinzi kwa miaka mitano ipo kwenye ilani ya ccm
Ilani ya chama ndiyo imeeleza namna gani masuala ya ulinzi yatafanyika, humo ndimo kuna nyumba za askari, uboreshaji wa miundombinu ya vyombo vyetu vya ulinzi,vitendeakazi vya majeshi nk. Pia kumbuka serikali ni ya ccm na ndio inayopamga ,matumizi ya bajeti ambayo inapitishwa na bunge. Je kama...
Jumuiya ya Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) imemshambulia Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe Juliana Shonza kwa kufungia wasanii na nyimbo za wasanii mbalimbali akiwemo Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’.
Naibu Waziri huyo hivi karibuni alitangaza kuzifungia nyimbo...
Alianza kwa kumuomba kwa unyenyekevu sana Rais Magufuli awajengee magorofa wananchi wa mabondeni na Rais Alimkubalia Ombi lake
Wanakinondoni tukamchague Mtulia, maulid akakamilishe adhima yake ya kuwapatia makazi watu wa mabondeni waliovunjiwa nyumba zao.
Mtulia ni mtetezi wa wanyonge...
“Dhamira ya Mtulia akiwa Chama kile(CUF) ilikuwa kuwatumikia wananchi wa Kinondoni ila kwa bahati mbaya sana kule alikokuwa( CUF) alishindwa kutekeleza adhima yake, Baada ya kuona anashindwa kutekeleza dhamira yake akaamua kuachana na Ubunge kupitia Vyama hivyo(Upinzani) na kuamua kujiunga na...
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Ndugu Kheri Denis James leo Januari 16, 2018 amekutana na kuzungumza na watumishi wa Jumuiya hiyo Afisi kuu Gymkana Zanzibar.
*TUKUTANE KAZINI*
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka usiku huu amejumuika na vijana wa wilaya hiyo katika meza ya mazungumzo kuzungumzia changamoto za Vijana, ajira, ujasiriamali pamoja na namna ya kutekeleza mpango wa vijana kujitolea katika shuhuli za maendeleo ikiwa ni sehemu ya shamra shamra za miaka...
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umesema kuwa nchini Tanzania hakuna Chama chenye uwezo wa kushindana na CCM kwani vyama vilivyopo ni mfano wa kamati za harusi zenye jukumu la kupanga na kuratibu sherehe za ndoa.
Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Umoja huo na Mjumbe wa Kamati...
wewe wasema, jana tafiti ya twaweza imeonesha wazi kabsa namna watumishi wanaifurahia serikali ya awamu ya tano kwan kuboresha mazingira ya kazi pamoja na kuboresha mishahara yao kwa njia ya annual increment, kupanda madaraja pamoja na kupunguzwa kwa kodi ya mshahara(PAYE),,uhalisia upo wazi...
Kumekuwa na upotoshaji unaofanywa na vyama vya upinzani kuhusiana na hotuba na Rais Dkt Magufuli aliyoitoa katika ufunguzi wa Mkutano wa 33 wa ALAAT hasa kuhusu suala la upandishaji wa mishahara kwa watumishi wa umma.
Kwanza ieleweke katika Mkutano ule madiwani walimuomba Rais Dkt Magufuli...
Mkuu wa majeshi ya Ulinizi na Usalama nchini Jenerali Venance Mabeyo ameshtushwa na namna Chadema wananvyoweka uzito mkubwa tukio la kushambuliwa kwa Tundu lissu na wakati tukio la Kibiti liliathiri na kuua watu wengi sana na waliviacha(chadema na watanzania wote) vyombo vya ulinzi na usalama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.